Albert Msando
JF-Expert Member
- Nov 2, 2010
- 1,019
- 171
Taarifa kutoka kwa Mwenyekiti wa Wilaya wa CHADEMA Arusha ni kwamba polisi 'wamekubali' ibada pamoja na duwa kuwaaga mashujaa waliofariki kwa kupigwa risasi na polisi tarehe 5-01-2011 ifanyike kesho jumatano kwenye viwanja vya NMC Arusha. Taarifa rasmi za ratiba ya ibada na dua zitaendelea kutolewa ili kila mwenye nia ya kushiriki aweze kushiriki!