BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,790
- 288,007
| ||
|
| ||
|
inawezekana ndo huyo a.k.a INTELIJENSIA YA POLISI?Hata mie nataka kumjua huyo 'Mlinzi wa amani'!!
Habari ambazo hazijathibitishwa kutoka mkoani humo zinadai kuwa baadhi ya askari waliohusika kwenye vurugu hizo si polisi halali wa jeshi hilo, bali ni vijana wa mtaani ambao walivishwa sare kwa lengo la kuwadhibiti CHADEMA, ndiyo maana walikuwa wakibabaika katika matumizi ya silaha.
Kwanini huyu mlinzi wa amani asimuhoji kamuhanda ambaye kabla hajaja amani ilikuwepo na ikatoweka mara baada ya yeye kuja pia kwanini asimuhoji waziri wa mahusiano na uratibu ndg wasira ambaye anapaswa kujua uhusiano wa polisi na makundi mengine ya kijamii kwamba ni salama kabisa kiasi kwamba waislamu wanaovunja sheria za nchi wanaishika ****** serikali kwa kuandamana tena palepale ikulu na ccm imenyamaza ila chadema ndio nongwa na wzr wa mambo ya ndani ambaye ndiye anayekubali kufanya kazi na shemeji ya kikwete ndg mwema,na pia mwenyekiti wa ccm ambaye wakati sensa inaendelea wao wanafanya uchaguzi bila kuingilia sensa ila chadema ni lazima wavuruge sensa?Pia tendwa ahojiwe kwakuropoka kama kopo la chooni kwamba eti atakifuta chadema na sio kufuta jeshi la polisi?"Mlinzi wa amani", naona limerudiwarudiwa hilo neno; ni nani huyo?
Kama jeshi limefikia hatua ya kuvisha wahuni uniforms ili tu kuidhibiti chadema basi kazi ipo.
Polisi ndio wanaovuruga amani Tanzania.
Kama jeshi limefikia hatua ya kuvisha wahuni uniforms ili tu kuidhibiti chadema basi kazi ipo.