Angel Msoffe
JF-Expert Member
- Jun 21, 2011
- 6,781
- 1,639
atakua kauwawa na hao hao polisi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watuambie sababu ya walio mchinja ni kwasabubu gani maana kumbe siyo swala la kisiasa........Ndio polisi wetu hao hawajafanya hata chembe ya uchunguzi lakini wanaweza kuhitimisha kwamba mauaji hayo hayahusiani na siasa!!!! Ukiwaambia watoe ushahidi kwamba mauaji hayo hayahusiani na siasa wanaanza kung'aa macho. Mungu tunusuru.
Hilo liko wazi kilicho baki ni sababu....maana najua sikuhizi wamejihalalishia kuua na hakuna mhiri chini a serikali ya CCM utakao wagusa.....atakua kauwawa na hao hao polisi
Wanadhani wana kiokoa chama chao cha CCM...hivi kuna ulazima gani wa polisi kukimbilia media na kukanusha kuwa kifo hakihusiani na siasa hata kabla hawajaanza uchunguzi.
Kama wanataka kutuliza wananchi wangesema neno moja tu.......kwamba uchunguzi unaendelea.....
Utetezi huu wa polisi unatia shaka kama lile kanusho la magogoni kwamba jk anawatetea mawaziri wanaotakiwa kujiuzulu.
Sasa kifo chake kinatuhusu nini? Huyo atakuwa ameChacha Wangwe tu na viongozi wenzake wa chama mfu(Chadema).
.
"WASIOSOMA NI CHAKULA CHA WASOMI".
Polisi ina jua walio muua mwenyekiti na Polisi wanajua walio wauwa vijana wanne wa juzi...na kama angekuwa alie uwawa ni mwenyekiti wa CCM wallah vyombo vyote wa habari ingekuwa ndiyo heading.....na watu wengi sana mpaka sasa wange kuwa wamekamatwa hasa watu wa chadema....
Viongozi wa CDM wanasubiri nini ku-declare war dhidi ya CCM????
Sasa kifo chake kinatuhusu nini? Huyo atakuwa ameChacha Wangwe tu na viongozi wenzake wa chama mfu(Chadema).
.
"WASIOSOMA NI CHAKULA CHA WASOMI".
na hakika wewe ni Chakula cha wasomi.Sasa kifo chake kinatuhusu nini? Huyo atakuwa ameChacha Wangwe tu na viongozi wenzake wa chama mfu(Chadema).
.
"WASIOSOMA NI CHAKULA CHA WASOMI".
Wewe ni mpumbavu kabisa. Samahani kwa kutoa kauli hiyo lakini umenikera sana.Sasa kifo chake kinatuhusu nini? Huyo atakuwa ameChacha Wangwe tu na viongozi wenzake wa chama mfu(Chadema).
.
"WASIOSOMA NI CHAKULA CHA WASOMI".
Sasa kifo chake kinatuhusu nini? Huyo atakuwa ameChacha Wangwe tu na viongozi wenzake wa chama mfu(Chadema).
.
"WASIOSOMA NI CHAKULA CHA WASOMI".
Hatuana Polisi tuna genge la wahuni tu.. wali wahi kutoa tamko kama hili kwenye issue ya Mwakyembe lakini kwenye issue kama za kina kanumba watasema wanafanya uchunguzi
Sasa kifo chake kinatuhusu nini? Huyo atakuwa ameChacha Wangwe tu na viongozi wenzake wa chama mfu (Chadema).
.
"WASIOSOMA NI CHAKULA CHA WASOMI".
Sasa kifo chake kinatuhusu nini? Huyo atakuwa ameChacha Wangwe tu na viongozi wenzake wa chama mfu(Chadema).
.
"WASIOSOMA NI CHAKULA CHA WASOMI".