Kuna mdau kanipasha kuwa kwa sasa polisi wa mjini moshi wametanda mji mzima na wamefunga baadhi ya barabara ili kuwazuia wananchi wasihudhurie kwenye ukumbi wa halmashauri kusikiliza kikao cha madiwani kinachoendelea.
Pia mkurugenzi amekimbia ukumbini akihofia ile hoja ya kuchukua viwanja vya wazi vilivyomilikishwa kwa cc.
Je polisi ni mali ya chama tawala?
Sipati majibu ni lini tutakuwa na demokrasia ya ukweli hapa tz.
Pia mkurugenzi amekimbia ukumbini akihofia ile hoja ya kuchukua viwanja vya wazi vilivyomilikishwa kwa cc.
Je polisi ni mali ya chama tawala?
Sipati majibu ni lini tutakuwa na demokrasia ya ukweli hapa tz.