Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 39,761
- 71,140
Hiyo si ndiyo kazi wanayolipiwa mshahara? vinginevyo waache kazi,majukumu yao lazima watimize.Kama kweli mmeamua hivyo kwa polisi wote sawa..lakini pia mkivamiwa usiku msiwaite wala kupeleka kesi yoyote polisi