Polisi wafukuzwa kwenye nyumba waliyopanga na mwenye nyumba: Kisa? Mauaji ya raia

Hawa mbwa mimi nimewapa sana beer Morogoro, Mikumi,mbezi beach, Africana, Tegeta na pale Zero pub Teteta Kibaoni...Ila kuanzia sasa nina hasira nao kinyama..
 
mie naunga mkono kabisa kila nyanja tuwabane polisi wanapenda vya bure sana tusiwanunulie bia polisi wala lift wasipate, madereva wakamatisheni matrafiki wote wa arusha ,jamani tuwabane polisi wote mpaka kila polisi akonde kwa njaa,pia wanaharakati wa machame itengeni familia ya IGP kama ni muuza duka wambie waende dar, hata sokoni wanyimwe wamweleze mwema. jamani inawezekana kuwabna polisi wa rusha mpaka watajane nani kahusika pia ukimpatia nafasi mpe kitu polisi
 
SAFI SANA BABA MWENYE NYUMBA, PIA KWENYE DALADALA WALIPE, NI MAJAMBAZI TU HAO. WAUWAJI WAKUBWA. HATE THEM 4REVA,
THEY ARE HELPLESS, TOO MUCH OF CORRUPTION. NILIKWENDA MAGOMENI KITUO CHA POLISI KUTOA TAARIFA YA KUPOTEA CARD YANGU YA GARI NIKAAMBIWA NITOE HELA YA BIA 3. NIKAONDOKA KWA HASIRA.
WHAT HAS 3 BIAZ GOT TO DO WITH MY REGISTRATION CARD. :embarassed2::embarassed2::embarassed2::shetani::shetani::shetani:
 
Mwenye nyumba kaogopa nyumba yake kupigwa kiberiti na wannchi wenye hasira na polisi na njia pekee ni kuwapa notice fasta. Safi sana hata mimi ningewatimua hawa polisi nyumbani kwangu.
 
Kwani polisi wa uraiani wamekosea nini hasa ukizingatia kufuata amri ni moja ya majukumu yao. Suala la kusema eti na nyie mchukue direct actions na kuwasusia au kuwatia adabu si la fikra endelevu wakati wao wanapokea amri tu. Ni muhimu kwanza kuwashawishi waone mabaya kama nyie mnavyoona. Mbona China wanafunzi tu waliweza washawishi polisi miaka hiyo baada ya mkosoaji maarufu wa serikali kuuliwa. Kelele za wanafunzi na walimu bila ya hata msaada wa magazeti zilikuwa tosha, by the time wanafunzi wanaenda 'Tiananmen Square' kuweka camp polisi wakachukua upande wa wanafunzi na kugomea serikali walipopewa amri ya kutumia nguvu kuwatimua.

Matatizo yetu ndio yao wao pia vilevile mwisho wa siku, polisi wenyewe wanafanya kazi kwa mishahara duni na kutegemea rushwa just to survive. Mbona wao hawagomi au kususia serikali unaweza sema ni wapenda CCM au labda wajinga lakini mwingine anawaona ni wazalendo wa kweli kwa kutufikiria raia. Polisi wakigoma ndio mtakujua majambazi ni akina nani na hizo baa mnazo wapa bia mtaona aziendeki. Ni suala tu la kuweza kuwashawishi waione serikali kama nyie mnavyo iona lakini hawastaili kupewa adabu kwa namna yenu mnayoitaka.
 
Mzizi wa haya yote ni kuwa na Katiba mpya itakayoweka wazi majukumu ya Polisi na wanasiasa. Polisi wa leo hasa wenye vyeo wanatumiwa kisiasa zaidi baada ya kuona vyeo vyao ni kama zawadi waliyopata toka kwa wanasiasa na hivyo kunatakiwa kuwa na quid pro quo kati yao na wanasiasa hasa CCM. Wanasahau kuwa front liners wao wanatakiwa kuwa na mahusiano mazuri na raia ili kufanya kazi yao kuwa rahisi. Ili kufanikisha hayo polisi hawana budi kupokea amri halali toka kwa wakubwa zao badala ya amri za kisiasa.

Nina hakika kuwa kama wanasiasa watanyimwa power ya kuwaondoa polisi madarakani kwa kuwa wamekataa kutekeleza amri zao basi tutakuwa na jeshi imara lenye kufanya kazi bila kuangalia rangi kijani, kaki, au nyeupe. Wanasiasa wanawaweka polisi katika wakati mgumu sana kiutendaji kwa kutoa amri haramu dhidi ya raia wema. Matokeo yake polisi inabidi wadanganye ili kuhalalisha amri walizopewa nyuma ya pazia na wanasiasa wenye uchu wa madaraka hata kwa kunywa damu ya watanzania kama ilivyotokea Arusha. Tutakumbuka January 26 na 27 2001 kule visiwani polisi walivyotumika isivyo na kuliingiza Taifa katika lists ya nchi zilizowahi kutengeneza wakimbizi Africa. Na kilichofuata ni asante toka kwa Mkapa kuwapandisha vyeo wauaji wale. Kitendo kile ndicho kinafanya mpaka leo polisi wasiokuwa na akili kuamini kuwa njia pekee ya kufanikiwa ni kuonesha CCM kuwa wapo upande wao kwa kakandimiza upinzani.
 
Kama ni kweli amefanya vizuri, wakakae huko huko kwenye fullsuit zao za mabati. Wanaua raia wema bado wanataka kuishi nao, washenzi wakubwa hawa!!
 
Ushirikiano wowote kati yetu raia wa nchi hii ya Tanzania kwa jeshi la polisi au polisi mmoja mmoja ndio utakua umezikwa rasmi siku mashujaa wa waliouaua Arusha watakapoingizwa kaburini.

Polisi wasitegemee tena uhusiano wowote mzuri kutoka kwa wananchi baada ya kuwaua Watanzania wasio na hatia.

Hivyo tunawaomba Watanzania wote wenye uhusiano wowote na polisi kuukatisha kwa ajili ya kuwaenzi wahanga wa demokrasia na haki Arusha.
 
Mzizi wa haya yote ni kuwa na Katiba mpya itakayoweka wazi majukumu ya Polisi na wanasiasa. Polisi wa leo hasa wenye vyeo wanatumiwa kisiasa zaidi baada ya kuona vyeo vyao ni kama zawadi waliyopata toka kwa wanasiasa na hivyo kunatakiwa kuwa na quid pro quo kati yao na wanasiasa hasa CCM. Wanasahau kuwa front liners wao wanatakiwa kuwa na mahusiano mazuri na raia ili kufanya kazi yao kuwa rahisi. Ili kufanikisha hayo polisi hawana budi kupokea amri halali toka kwa wakubwa zao badala ya amri za kisiasa.

Nina hakika kuwa kama wanasiasa watanyimwa power ya kuwaondoa polisi madarakani kwa kuwa wamekataa kutekeleza amri zao basi tutakuwa na jeshi imara lenye kufanya kazi bila kuangalia rangi kijani, kaki, au nyeupe. Wanasiasa wanawaweka polisi katika wakati mgumu sana kiutendaji kwa kutoa amri haramu dhidi ya raia wema. Matokeo yake polisi inabidi wadanganye ili kuhalalisha amri walizopewa nyuma ya pazia na wanasiasa wenye uchu wa madaraka hata kwa kunywa damu ya watanzania kama ilivyotokea Arusha. Tutakumbuka January 26 na 27 2001 kule visiwani polisi walivyotumika isivyo na kuliingiza Taifa katika lists ya nchi zilizowahi kutengeneza wakimbizi Africa. Na kilichofuata ni asante toka kwa Mkapa kuwapandisha vyeo wauaji wale. Kitendo kile ndicho kinafanya mpaka leo polisi wasiokuwa na akili kuamini kuwa njia pekee ya kufanikiwa ni kuonesha CCM kuwa wapo upande wao kwa kakandimiza upinzani.

Kaka nakubaliana na wewe.

Vyeo vya kupeana kama njugu bila competitiveness ndio madhara yake. Sio tu polisi hata majaji na ma-CEO, na mavyeo yote ya uteuzi. Tz ya sasa uteuzi wa cheo cha aina yeyote lazima utaleta malalamiko maana misingi ya umoja wa kitaifa tumeshaivunja.

Na polisi wetu sasa ndio wakati wao wa kuvuna uchonganishi wa wanasiasa. Inasikitisha polisi wa vyeo vya chini ndio hutumika kama toy soldiers na ndio haohao wanapata shurba kwa kiwango kikubwa. Ukishavunja trust ni vigumu sana kuirejesha, na polisi wa Tz kwa muda mrefu sana wanafahamika kwa maovu yao dhidi ya raia wema kuanzia kuua watuhumiwa, kuomba rushwa baada ya kubambikia kesi etc etc. Sasa wameenda mbali zaidi na kuwalenga na risasi za moto mchana kweupe. Si punde tutaanza kusikia vituo vya polisi au majengo ya serikali yakilipuliwa na mabomu ya petroli na taratibu nchi itageuka uwanja wa fujo.

Haya yote ni matunda ya siasa uchwara.
 
Mwenye nyumba mkoani arusha awatimua polisi wawili waliokuwa wamepanga nyumbani kwake! Huu ni ushahidi wa hasira za wananchi kwa polisi na matendo yao! Polisi mmoja apigwa na raia alipooenda kunywa supu kwenye barr! Hivi sasa polisi wanatembea kwa makundi Arusha!
Na bado,
am sure watafanyiwa zaidi ya hapo.
Vipi kuhusu polisi aliyempiga mama slaa na yule aliyemuua kamanda waitara naskia nao wanatafutwa na machalii wa a-town. Hebu tukwelishe habari hizi.
 
Hawa mbwa mimi nimewapa sana beer Morogoro, Mikumi,mbezi beach, Africana, Tegeta na pale Zero pub Teteta Kibaoni...Ila kuanzia sasa nina hasira nao kinyama..na ni lazima nitaua polisi wawili kwa njaa zao.


Chondechondo jamani,tusiwachukie polisi,hawa ni walawala hoi wenzetu.Wanatumiwa na mafisadi&wanasiasa(CCM) kufanya mauaji!!
 
Kama kweli mmeamua hivyo kwa polisi wote sawa..lakini pia mkivamiwa usiku msiwaite wala kupeleka kesi yoyote polisi
 
Chondechondo jamani,tusiwachukie polisi,hawa ni walawala hoi wenzetu.Wanatumiwa na mafisadi&wanasiasa(CCM) kufanya mauaji!!

Hapana let us show them what a true mzalendo looks and act like. Si wamekua wepesi kuonyesha ubabe. Although walipewa order wapige walikua pia na utashi waku-control kipigo: kwahiyo wanasehemu yao yakubeba kwenye hii issue. Let us squeeze them in all corners washike adabu.
 
Sifurahii sana hatua hiyo kwani inazidisha chuki kati ya polisi na raia. Kitu ambacho kinapashwa kufanywa ni kuwajibishwa kwa mkuu wa polisi wa mkoa na wengine wenye kutoa maamuzi ya ndani ya polisi pamoja na mkuu wa polisi tanzania igp.

Kadhalika wale polisi wote waliofanya huo ualifu wa mauaji lazima nao wawajibishwe kisheria. Ninachokiona kigumu hapa ni kwamba tayari rais wa jamuhuri ya muungano ameshasema kuwa tukio hilo lilikuwa la bahati mbaya.. Sasa unadhania kuna kuwajibishwa hapo.????
 
Back
Top Bottom