Crashwise
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 22,227
- 8,735
Polisi wa Tanzania mkoani Mara wameendelea na mauwaji kama kawaida yako ni kwenye mgodi wa nyamogo, wamemuua kijana mmoka na mwingine kumjeru vibaya... jamani serikali ya CCM mnataka kutuua watanzania wote halafu watu wakiongea mnasema wanatishia amani je mnayo ihubiri ni hiyo kuwa twanga watanzania risasi.