Mkatavimeo
JF-Expert Member
- Jan 3, 2011
- 2,150
- 868
Nina hamu ya kuwaambia 'get the fcuk outta here you stupid muh'fukkaz'
Ahahahaha! Mkuu taratibu mkuu!
Nina hamu ya kuwaambia 'get the fcuk outta here you stupid muh'fukkaz'
Nina hamu ya kuwaambia 'get the fcuk outta here you stupid muh'fukkaz'
Nina hamu ya kuwaambia 'get the fcuk outta here you stupid muh'fukkaz'
Ahahahaha! Mkuu taratibu mkuu!
Polisi waahidi kulifanyia uchunguzi tukio la utekaji wa Dr. Stephen Ulimboka.
Taarifa zilizonifikia ni kwamba ACP Ahmed Msangi wa kanda maalum ya Dar es Salaam ataongoza kikosi cha wapelelezi kufanya Uchunguzi wa tukio hilo.
GET WELL SOON Dr. ULImboka.
kesi ya nyani anapelekewa ngedere.
Mimi ni mwalimu mwenye degree ya sayansi. Niliajiliwa miaka mitano iliyopita lakini mshahara wangu hadi sasa ni tshs 720,000/=. sasa najiuliza huyu daktari kanizidi nini kielimu hadi apate mshahara wa tshs 990,000 kianzio na sasa anataka 3.5m jeuri hii anaitoa wapi? Nashangaa sana kwa nini watu wanashabikia wakati mishahara ya tanzania daktari ndiye anayeongoza kwa kulipwa mshahara mkubwa serikalini. Mimi naona mgomo huu si bure una hila nyuma yake. Keki hii ya taifa ni yetu sote kwa nini nyinyi mjione sawa na wakurugenzi waliosota miaka dahari kulipwa mshahara mnaodai?shame on you. sisi walala hoi mnatuumiza, nyinyi mnatibiwa hospitali za private, think of those who are paid below 170,000 pm waende wapi? Hizi ni siasa chafu ambazo hazifai kushabikiwa. Watu nakufa kwa hila hizi yuo must stop. I am fade up, hapa mhimbili hatupati huduma tuende wapi?
Mimi ni mwalimu mwenye degree ya sayansi. Niliajiliwa miaka mitano iliyopita lakini mshahara wangu hadi sasa ni tshs 720,000/=. sasa najiuliza huyu daktari kanizidi nini kielimu hadi apate mshahara wa tshs 990,000 kianzio na sasa anataka 3.5m jeuri hii anaitoa wapi? Nashangaa sana kwa nini watu wanashabikia wakati mishahara ya tanzania daktari ndiye anayeongoza kwa kulipwa mshahara mkubwa serikalini. Mimi naona mgomo huu si bure una hila nyuma yake. Keki hii ya taifa ni yetu sote kwa nini nyinyi mjione sawa na wakurugenzi waliosota miaka dahari kulipwa mshahara mnaodai?shame on you. sisi walala hoi mnatuumiza, nyinyi mnatibiwa hospitali za private, think of those who are paid below 170,000 pm waende wapi? Hizi ni siasa chafu ambazo hazifai kushabikiwa. Watu nakufa kwa hila hizi yuo must stop. I am fade up, hapa mhimbili hatupati huduma tuende wapi?
Pinda anasema liwalo na liwe! Mpuuzi kweli
Tofauti ni kuwa nyie walimu mlifeli mitihani ndio maana mkakimbilia ualimu baada ya kukosa options wakati madaktari walifaulu mitihani ndio wakabahatika kuchaguliwa kusomea hiyo fani. Nyie walimu ni makapi na wao madaktari ni cream, hamuwezi kulipwa sawa, hata hiyo laki 7 wamekupendelea inatakiwa kupunguzwa. Pia udaktari unasomewa miaka 6 wakati kuna walimu hadi wa vodafasta ambao hata wiki moja darasani hawajakaa. Pia ualimu unapatikana hata kwa vyeti bandia lakini daktari anaapishwa kabla ya kazi, upo hapo we ticha.Mimi ni mwalimu mwenye degree ya sayansi. Niliajiliwa miaka mitano iliyopita lakini mshahara wangu hadi sasa ni tshs 720,000/=. sasa najiuliza huyu daktari kanizidi nini kielimu hadi apate mshahara wa tshs 990,000 kianzio na sasa anataka 3.5m jeuri hii anaitoa wapi? Nashangaa sana kwa nini watu wanashabikia wakati mishahara ya tanzania daktari ndiye anayeongoza kwa kulipwa mshahara mkubwa serikalini. Mimi naona mgomo huu si bure una hila nyuma yake. Keki hii ya taifa ni yetu sote kwa nini nyinyi mjione sawa na wakurugenzi waliosota miaka dahari kulipwa mshahara mnaodai?shame on you. sisi walala hoi mnatuumiza, nyinyi mnatibiwa hospitali za private, think of those who are paid below 170,000 pm waende wapi? Hizi ni siasa chafu ambazo hazifai kushabikiwa. Watu nakufa kwa hila hizi yuo must stop. I am fade up, hapa mhimbili hatupati huduma tuende wapi?
Liwalo na LIWE
Haha, nani kasema hilo? Hii kiboko, na watoto wake wamemsikia?uMESHAAMBIWA WENYE UCHUNGU WAENDE WAKAJIFUNGUE HOSPITALI..KWELI HAO NDIO VIONGOZI TULIONAO NNCHINI TENA WANAZUNGUMZA NDANI YA BUNGE SIO VIJIWENI
[h=6]Polisi waahidi kulifanyia uchunguzi tukio la utekaji wa Dr. Stephen Ulimboka.
Taarifa zilizonifikia ni kwamba ACP Ahmed Msangi wa kanda maalum ya Dar es Salaam ataongoza kikosi cha wapelelezi kufanya Uchunguzi wa tukio hilo.
GET WELL SOON Dr. ULImboka.[/h]