mzamifu
JF-Expert Member
- Mar 10, 2010
- 6,379
- 3,826
Nilikuwa natokea boko kuelekea mjini, njiani mume wangu kanipigia simu niwe mwangalifu kwani alisikia tegeta kuna vurugu. Aisee, niligeuza gari nikatembea miguu kuja kwenye eneo la tukio, yaani ilikuwa kama vile Afghanistan.
Nililazimika kugeuza gari na kurudi nyumbani. Polisi walikuwa wakirusha risasi ambazo sijui zilikuwa za moto au za mipira ila pia niliona moshi mwingi unaofanana na ule wa mabomu ya machozi. Polisi aliyeuliwa alivamiwa na mawe.
Pia kuna baadhi yao kadhaa waliojeruhiwa na gari lao kupigwa sana mawe. Kusema kweli hali ilikuwa ni mbaya sana..........Inabidi mkuu wa kaya aingilie swala. Waliowawa nimewaona na macho yangu ila cha kushangaza kamanda wa polisi analificha hili pale alipoongea redioni.
asante kwa taarifa. hata kama ina upungufu kidogo si neno