Polisi wa FFU auliwa na Wananchi wenye hasira (Tegeta)

Watanzania tufunguke macho! Muarabu kaja kwetu kakwapua ardhi yetu, badala ya kumtoa yeye tunaishia kuuana sisi kwa sisi. Atakuwa pempeni anachekelea na kutushangaa!
 
Kweli kikwete alichaguliwa na nec,,haiingii akilini mnayosema ngome yenu dsm..mkuu wa nchi anakimbia..badala ya kusimama na kuongea na wapiga kara wake
 
mmesahau ya kuwa viwanja vingi vya OIL COM vilikuwa viwanja vya wazi, CCM iliviuza, CCM ilianza hivi, inateka kiwanja inaweka shina la wakeleketwa, baada ya hapo inajenga viofisi vidogo vya chama, muda mfupi wanauza, kama ilivyotokea pale msasani Drive in ambako kuna ZANTEL.
 
Tanganyika Huru inakuja ... Poleni wafiwa... Hongereni mashujaa mliokufa kwa kutetea Tanganyika yenu.. Afie mbali Askari aliyekufa kwa kutetea mafisadi...
 
Polisi mmoja wa kikosi cha FFU ameuliwa wakati wengine kadhaa wamejeruhiwa vibaya leo na raia wenye hasira maeneo ya Tegeta Namanga. Pamoja na skari, kuna raia wawili pila waliouliwa na askari hao wa FFU huku wengine wengi wakiwa wameumizwa vibaya. Hii ilitokea kwenye purukushani iliyoanzhishwa na mmiliki wa kituo cha mafuta aliyeanza kuvunja makazi ya wananchi hao.

Yawezekana wengi wamepoteza maisha yao, ila kwa macho yangu nimemuona Askari mmoja kauliwa na Wananchi wawili ila walioumia ni wengi sana. Hali ilikuwa ni mbaya sijawahi kuona. Nimeona ile kwenye TV. Nilijua tu vitu kama vile vinatokea Afghanistan, Syria na Iraq siyo Tanzania. Mbaya zaidi rais mwenye kapita na kuacha mapambano yakiendelea

Mapambano kati ya polisi na raia yameendelea kwa muda mrefu hata baada ya rais kupita, ambako pia gari la rais na msafara mzima lilirushiwa mawe.....Inabidi polisi waseme ukweli kuhusiana na hili jambo.. hali bado tete kwani wananchi wana hasira na serikali kuruhusu mwekezaji huyu kujichukulia sheria mikononi mwake ya kuwahamisha na kuvunja makazi yao

Chanzo, nilikuwepo eneo la tukio

yule makengeza a.k.a kova amesalimika?
 
Huyo polisi afie mbali.

R.i.P wananchi mlokuwa mnadai haki yenu, damu yenu tutaienzi.
 
Kitendo cha kuuwaua kwa WaTanzania wazawa watatu (mmoja akiwa ni askari wa FFU) pale Tegeta, je bado huyu 'Mwekezaji wa CCM' kwa jina la OILCOM bado anajiona yuko salama na vituo vyake vya mafuta nchini kweli huyu!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Unajua ifike wakati watanganyika tuache uoga wakijinga...hii ni nchi yetu, hakuna mpumbavu kuja kutunyanyasa kisa ni kibaraka wa mafisadi...
 
Kweli msemo wa mnyika kila kukicha ushahidi unaongezeka.

Kweli wananchi wamechoka.
 
Polisi mmoja wa kikosi cha FFU ameuliwa wakati wengine kadhaa wamejeruhiwa vibaya leo na raia wenye hasira maeneo ya Tegeta Namanga. Pamoja na skari, kuna raia wawili pila waliouliwa na askari hao wa FFU huku wengine wengi wakiwa wameumizwa vibaya. Hii ilitokea kwenye purukushani iliyoanzhishwa na mmiliki wa kituo cha mafuta aliyeanza kuvunja makazi ya wananchi hao.

Yawezekana wengi wamepoteza maisha yao, ila kwa macho yangu nimemuona Askari mmoja kauliwa na Wananchi wawili ila walioumia ni wengi sana. Hali ilikuwa ni mbaya sijawahi kuona. Nimeona ile kwenye TV. Nilijua tu vitu kama vile vinatokea Afghanistan, Syria na Iraq siyo Tanzania. Mbaya zaidi rais mwenye kapita na kuacha mapambano yakiendelea

Mapambano kati ya polisi na raia yameendelea kwa muda mrefu hata baada ya rais kupita, ambako pia gari la rais na msafara mzima lilirushiwa mawe.....Inabidi polisi waseme ukweli kuhusiana na hili jambo.. hali bado tete kwani wananchi wana hasira na serikali kuruhusu mwekezaji huyu kujichukulia sheria mikononi mwake ya kuwahamisha na kuvunja makazi yao

Chanzo, nilikuwepo eneo la tukio
Muke ya Muzungu, asante, na asante pia kwa Muzungu kukupa taarifa kuhusu tukio hilo!. Kwenye purukushani, au ajali, taarifa za vifo hutolewa na ama polisi, ama hospitali ilikopokelewa miili hiyo!, kwa kuona tuu kwa macho, ni kudhania, unaweza dhani kafa, kumbe kazimia tuu!.
 
Amani watu wanalala njaa wapi na wapi muda umefika uoga kwenu mwiko
 
Inasikitisha sana dam inapomwagika kwakweli,,,any way ni changamoto hiii,,,ardhi kwa manispaa ya kinondon ni janga,lakin pia hii mara ya ngapi watu wanauaba coz of ardhi huko kinondon????
 
Inasikitisha sana dam inapomwagika kwakweli,,,any way ni changamoto hiii,,,ardhi kwa manispaa ya kinondon ni janga,lakin pia hii mara ya ngapi watu wanauana coz of ardhi huko kinondon????
 
Muke ya Muzungu, asante, na asante pia kwa Muzungu kukupa taarifa kuhusu tukio hilo!. Kwenye purukushani, au ajali, taarifa za vifo hutolewa na ama polisi, ama hospitali ilikopokelewa miili hiyo!, kwa kuona tuu kwa macho, ni kudhania, unaweza dhani kafa, kumbe kazimia tuu!.

Ni kweli Pasco, angeweza kusema watu waliokuwa chini na inaonekana ni majeruhi au hawana uhai.
Japokuwa anaweza kuwa alidhibitisha pia.

Katika ajali tunaona wale waliokufa wamelazwa sehemu na kufunikwa gubigubi kwa kanga au kitambaa kwa maana ya kuwasetiri katika umauti wao.

Hiyo haihitaji daktari wala polisi.
 
Last edited by a moderator:
Mimi nimegundua wewe huna ufahamu kabisa na inawezekana wewe ni mtu wa kijiweni tu, ni nchi gani uliyowahi kusikia msafara wa raisi ukipita kwenye machafuko akasimamisha magari. Tuache chuki jamani sikatai yako mengi mabaya lakini pia yako mengi mazuri, nilitaka kukupa taarifa tu.
 
Back
Top Bottom