Polisi vs CAG: Nani ni nani na nani afanye nini?

Zing

JF-Expert Member
Jun 24, 2009
1,767
470
Wakuu kuna jambo linanitatiza.

Ni kuhusu muundo au mfumo na utaratibu wa nini kinatakiwa kufuatwa baada ya kashfa, wizi au rushwa kugundulika sehemu mbali mbali hasa kwenye idara na wizara serialini.

  • Kuna matukio yakitokea Polisi moja kwa moja wanaingia kazini tena jamaa aliyekuwa anaongoza idara ya masuala haya anaitwa Kasala sijui kama bado anaendelea ..............
  • Kuna matukio yakitokea tunasikia Serikali inaagiza CAG afanye uchunguzi .......

Binafsi naona CAG au tume inahusika pale ambapo wahusika wakuu ni vigogo watendaji wakuuu na wanasiasa wa ngazi za juu. Polisi wao watafanya uchunguzi kama inahusu waina sie ....... je hili Ni sawa.

  • Kwa nini mpaka sasa hivi Polisi haijawawahoji hao walituma hio Pesa na kila jairo.? Je utaratibu huu ni sawa?
  • Kwa nini Jukumu la ucngui apewe CAG na sio takukuru au Polisi?
  • Je hakuna muingilinoa wa majukumu kati ya ofisi ya CAG na Polisi na Takukuru.?
  • Ni kitu gani kinatakiwa kufanya tigger polisi wafanye uchunguzi? Ni mpaka waagizwe au kwa manufaa ya umma wanaweza kuamua kufuatilia na kuhoji mtu yeyote na jamb lolote ?
Nawasilisha kwa kueleweshwa
 
Wakuu kuna jambo linanitatiza.

Ni kuhusu muundo au mfumo na utaratibu wa nini kinatakiwa kufuatwa baada ya kashfa, wizi au rushwa kugundulika sehemu mbali mbali hasa kwenye idara na wizra serialini.

  • Kuna matukio yakitokea Polisi moja kwa moja wana tena jamaa aliyekuwa anaongoza idatra ya masuala haya anaitwa Kasala sijui kama bado anaendelea
  • Kuna matukio yakitokea tunasikia Serikali inaagiza CAG afanye uchunguzi

Binafsi naona CAG au tume inahusika pale ambapo wahusika wakuu ni vigogo watendaji wakuuu na wanasiasa wa ngazi za juu. Polisi wao watafanya uchunguzi kama inahusu . je hili Ni sawa.

  • Kwa nini mpaka sasa hivi Polisi haijawawahoji hao walituma hio Pesa na kila jairo.? Je utaratibu huu ni sawa?
  • Kwa nini Jukumu la ucngui apewe CAG na sio takukuru au Polisi?
  • Je hakuna muingilinoa wa majukumu kati ya ofisi ya CAG na Polisi na Takukuru.?
  • Ni kitu gani kinatakiwa kufanya tigger polisi wafanye uchunguzi? Ni mpaka waagizwe au kwa manufaa ya umma wanaweza kuamua kufuatilia na kuhoji mtu yeyote na jamb lolote ?
Nawasilisha kwa kueleweshwa
Zing, matukio yanayohusisha polisi moja kwa moja ni yale ya uhalifu, criminal. Matukio kama la Jairo, linahusisha ukaguzi, jee taratibu zilifuatwa, jibu litakuwa yes, barua ziliandikwa. Je fedha zilikusanywa?, zitaonekana ziliingia A/C ya GIS. Swali litafuatia, jee zilitumika kwa shughuli iliyokusudiwa, vocha za GIS zitaonyesha. Baada ya hapo, CAG ataandaa ripoti yake na kumkabidhi CS, huku ikiandamana na ushauri, maoni na mapendekezo. Baada ya hapo kama kuna issues ya rushwa, Takukuru ata take over, kama kuna issue ya criminal, polisi watatake over, kama kuna matumizi mabaya ya madaraka, DPP atawasimamisha kizimbani. Kama hakuna issue, Jairo atamalizia kipindi chake kifupi kilichobakia kwenye utumishi wa umma, 2014, atateuliwa balozi nchi moja ya neema na biashara ya ulaji kuku kwa mrija kuendelea mpaka.
 
Zing, matukio yanayohusisha polisi moja kwa moja ni yale ya uhalifu, criminal. Matukio kama la Jairo, linahusisha ukaguzi, jee taratibu zilifuatwa, jibu litakuwa yes, barua ziliandikwa. Je fedha zilikusanywa?, zitaonekana ziliingia A/C ya GIS. Swali litafuatia, jee zilitumika kwa shughuli iliyokusudiwa, vocha za GIS zitaonyesha. Baada ya hapo, CAG ataandaa ripoti yake na kumkabidhi CS, huku ikiandamana na ushauri, maoni na mapendekezo. Baada ya hapo kama kuna issues ya rushwa, Takukuru ata take over, kama kuna issue ya criminal, polisi watatake over, kama kuna matumizi mabaya ya madaraka, DPP atawasimamisha kizimbani. Kama hakuna issue, Jairo atamalizia kipindi chake kifupi kilichobakia kwenye utumishi wa umma, 2014, atateuliwa balozi nchi moja ya neema na biashara ya ulaji kuku kwa mrija kuendelea mpaka.

Pasco aksante ila

  • Ina maana kinga ni utaribu kufuatwa.? je vipi kama utaratibu umefuatwa lakini kunaonekana kuna harufu ya rushwa. Ndio maana nahoji. Kati ya Polisi au TAKUKURU walitakiwa wame wameshaingia kazini kwa issue hii mtazamo wangu.
  • Unaposema TAKUKURU ata take over kama kuna issue ya criminal ina maana pesa ziifujwa serikialini anayeamua kama ni crime au sio ni CAG?
 
Hii habari uhusu vyombo vya usalama USA taasisi za seriali yetu zinaweza kujifunza . Inaoneka akwneeye taasisis zetu kuna competition ya nani afanye nini

The Department of Defense (DOD), the National Security Agency (NSA), the Department of Homeland Security (DHS) and the Federal Bureau of Investigation (FBI) all compete for cyber security primacy

Cyber security has become an increasingly important issue in recent years due to the number of attacks launched against corporations and governments around the world. For instance, hacker groups LulzSec and Anonymous as well as others have broken into several corporate websites/records such as Sony, Fox and Gmail accounts. Government websites such as those for the CIA and top U.S. government information technology services provider Lockheed Martin were hacked as well.

Dealing with cyber attacks is difficult for government security agencies because it's hard to tell if it's an act of war or just smaller-scale criminal acts. An even larger problem in dealing with cyber attacks is determining who to call when one occurs. For instance, a cyber attack on a Department of Defense network might seem like an obvious job for the military, but if the attack occurred within the U.S., it would be categorized in criminal statutes.

The September 11 terrorist attacks shed some light on the fact that federal agencies don't always work well with one another (and haven't for decades), and that some fight over who should be called first in the case of such an attack. For instance, during the September 11 terrorist attacks, the CIA, FBI and law enforcement officers were criticized for not working with one another when the CIA knew the approximate location of the attackers but did not tell the FBI...................

Soma zaidi DailyTech - Federal Agencies Agree to Work Harmoniously for Cyber Security
 
Back
Top Bottom