Straight corner
JF-Expert Member
- Nov 18, 2010
- 385
- 132
- Thread starter
- #61
We kama si polisi basi ni moja yao kina Zoko wanaojiita usalama wa majambazi. Nasema hivyo kwa sababu hiyo jamii ni sumbufu sana kwa raia pengine hata we kama si mmoja wao ushasumbuliwa siku moja.Fikra uliyo nayo ni potofu sana, kama kungekuwa hakuna usalama nchi hii basi hata wewe usingekuwa na la kuongea humu, usalama sasa hivi ni 100% isipokuwa kwa wale wanaotemper tnao ndo wanaweza kujikuta pabaya, lkn kwa raia mwema ni fuull kujiachia, kwa hilo umechemsha labda useme lingine.