Kwa Dar imekuwa ni kawaida kwa waendesha pikipiki a.k.a.bodaboda kutokufuata maelekezo ya taa za barabarani, wao wanachomoka jinsi wanavyotaka, iwe taa zimeruhusu kwenda kwingine ama la mara na nyingi askari wanaoongoza magari wanakuwepo tusaidianane katika hili