Polisi na ukatili wa kutisha Igunga na Dar

Kwa issue ya DC na mtandio wake kule Igunga, Nape na Makamba waliiita waandishi wa habari huku Makamba akishikilia gazeti lenye picha ya DC aliyeshiliwa na wanaume (wafuasi wa CHADEMA) na akatoa wito,'akina mama na wanaharakati wa haki za binadamu,mama huyu kashikwa na wanaume,huu ni udhalilishaji,kemeeni hili'. Tusubiri tuone labda makamba au Nape watatoa tena wito kulaani kitendo hiki cha polisi wanaume kumbeba juu juu huyu mama wa Igunga wakimshika makalio nk, vinginevyo tutawaona ni wale wale mafisadi vijana wanaotaka CCM ibaki madarakani kwa njia haramu(mchezo wa DC wa Igunga) ili waendelee kuneemeka na ufisadi unaofanywa na CCM.
 
Hivi kwanini hawa wanaolipwa buku 2 na nape akili zao wote ni za aina moja yani kama za Tambwe Hizza(wa CCM),FF sio kila kitu ni cha kubisha kuna vingine support nape hawezi kukutosa buku 2 yako

Unataka ni support fujo? Unanchekesha!
 
Kwani kavuliwa hijab huyo hata Bakwata walalamike au kavuliwa nguo? katupwa kama mzigo kwa ujuvi wake, yeye anaambiwa panda juu ya gari anajidai kutoa mdomo, watu wako kazini anawapotezea muda, wamfanye nini? Hakudhalilishwa kajidhalilisha kujidai kujiingiza kwenye fujo.

Nimemezea bonge la tusi nililotaka kukupaka nalo!
 
Kwani kavuliwa hijab huyo hata Bakwata walalamike au kavuliwa nguo? katupwa kama mzigo kwa ujuvi wake, yeye anaambiwa panda juu ya gari anajidai kutoa mdomo, watu wako kazini anawapotezea muda, wamfanye nini? Hakudhalilishwa kajidhalilisha kujidai kujiingiza kwenye fujo.

Nimemezea bonge la tusi nililotaka kukupaka nalo FF!
 
dah! Yani walimbeba kama kiroba. Sasa pale ndo uwanja wa tamwa na tgnp kufunguka
 
Mon, Oct 3rd, 2011


No Free Democracy

Tundu-Lisu.jpg


Mr Tundu Lisu Situation was chaotic in Igunga after CHADEMA youths went on rampage, smashing motor vehicles following the announcement of winner of Igunga by-election.


Police had to use tear-gas to disperse the rioting youths in various parts of Igunga.

At around 7:00am on Monday the youths aboard CHADEMA's vehicle used for mobilizing people moved around Igunga main road announcing that their party had won.

However, as CHADEMA supporters were rioting, their leaders including Iramba West MP, Mr Tundu Lisu and
Arusha Urban MP, Godbless Lema had already conceded defeat.


Despite conceding defeat, this reporter witnessed CHADEMA youths surrounding the Peak hotel that accommodated CCM leaders and later hurled stones and other items, smashing windows of one of the CCM vehicles.


Another group of CHADEMA's youths went to Igunga District Council offices and demanded announcement of results. They later started to burn grass.


Police had to intervene using teargas and water to disperse the youths and arrested some of them.


CHADEMA later convened an emergency meeting and announced that it had won and that CCM candidate Dr Dalaly Kafumu was refusing to sign election forms.


Police had to intervene and dispersed people who were attending the meeting.

Journalists who went to the meeting were to be careful not to turn victims of circurmstances as some CHADEMA followers blamed journalists for bias, especially for reporting that CCM had won.

On Sunday night when parties were tallying results from polling stations, CHADEMA youths chanted victory songs.


Monday evening the windscreen of a TOT vehicle was smashed after it passed near CHADEMA's office and police had to use teargas to contain the situation.


Police could not be contacted for comment as they were busy restoring peace after Dr Kafumu was announced the winner.


Reports from Moshi Rural have it that a group of youths suspected to be followers of CHADEMA torched a vehicle belonging to Uru Kaskazini ward councillor, after the party lost in a village chairperson election.


Before torching the vehicle with registration no. T 171 AFX Toyota Hilux, the youths overturned it and wounded the councillor, Evarist Mumburi.


In another development, CCM has won in 17 wards out of 22 during by election of councillors in several wards in the country.


According to the party's Publicity and Ideology Secretary, Nape Nnauye, CUF had won in Main Stand Ward in
Serengeti, Mara Region.


He said CHADEMA had won four wards in Masekelo (Shinyanga Urban); Mkoma (Rorya); Nzovwe (Mbeya) and Endasak (Hanang, Manyara). CCM won Dodoma Urban, Kongwa, Iramba, Nzega, Mwanza, Tarime, Rorya (two wards), Monduli, Lushoto and Mbeya.

By HALIMA MLACHA, Tanzania Daily News
 
Kweli nimeona huu ni udhalilishaji wa kupindukia,ndani ukitizama vzr walimkanyaga kanyaga da nmeckitika sana
 
Huyu Nape pamoja na mwandishi wa daily news kweli ni hamnazo, kata ya stand kuu serengeti ameshinda mgombea wa chadema, sasa wao wanasema ameshinda wa cuf. Nape kasahau alivyozomewa hapo serengeti alipokuwa anaikashfu chadema hadi anadhani wameshinda cuf.
 
Wale askari waliombeba kama kiroba yule mama wa igunga nasubiri kauli ya bakwata.

Kwa huyu mzee wa dsm yule askari atapata laana kwa kumdhalilisha yule babu anayesotea maslahi yake miaka na mikaka.

Mara nyingi tumeshasema JESHI LA POLISI Tanzania lipo kwa ajili ya kuitumikia CCM tu na si vinginevo.
Pengine Bakwata watatoa kauli kama yule mzee alikuwa amevaa kanzu na barghashia kuonyesha kuwa ni MUISLAMU!
 
jamani tutangaze vita na polisi,nasisi tuuwe ndugu zao ikiwauma watatulia.wanatutesa sana.

Nijuavyo Polisi wengi ni Darasa la VII, au Form IV na VI FAILURES(Div 0 au IV). Kwa maana hiyo Polisi wengi ni vihiyo!

Kwa hiyo hata kufikiri kwao ni almost sifuri. Fikiria mijitu inayolipwa MSHAHARA KIDUCHU, nyumba wanazoishi WANALALA KAMA WAFUNGWA,chumba kimoja wanalala baba,mama,watoto wa kike/kiume! Pamoja na shida zote hizo bado polisi wanatumika kama ROBOT za CCM. Wakiamrishwa piga risasi wanapiga,wakiamrishwa mwagia maji ya pilipili wanamwaga,wakiamrishwa kamata wapinzani weka ndani wanakamata!!!They are robots!!
Mbeya walishaanza kutoa kibano kwa Polisi. Last week kuna jangu mmoja KAPIGWA NONDO na tayari amesha rest in peace!
 
Polisi wa Tanzania ni wapumbavu sana, nimeona kile kitendo walichomfanyia yule mwanamke.
Na kwenye gazeti la mwananchi wametoa picha yake, vile vile wale wahuni wa CDM kitendo walichomfanyia yule mama DC ni wapumbavu pia, aikubaliki mwanamke wa kitanzania kudhalilishwa
 
Nadhani sasa ni muda muafaka wa movement kuzihamishia kwenye kuwapiga nondo hawa nyoko zao, nawapongeza vijana wa Mbeya kwa kulitekeleza zoezi hili kwa ufanisi mkubwa. sasa hivi Polisi mbeya wanalala saa 1 kama kuku.
 
Polisi wa tanzania shenzi kabisa,ila kuna sehem askari tanzania hii wanapata joto ya jiwe,kama pale ungalimited arusha kuna mitaa askari hawathubutu kupita lazma wahuni wakukimbize,
 
Back
Top Bottom