apolycaripto
JF-Expert Member
- Feb 11, 2011
- 644
- 225
Ni kweli polisi wetu wengi hawana reasoning capacity,hii pengine inachangiwa na upeo finyu ama mapokeo ya kazi zao.Njia ya haraka waliyojifunza ni ambush zaidi ya mbinu nyingine ya kumkamata mtuhumiwa pasipo kumzuru.Hii dhana ya ''kutii sheria pasipo shuruti'' inapaswa ifafanuliwe vizuri na wahusika wa pande zote yaani polisi na raia waitekeleze.
Hili la Mzee/wazee wastaafu EAC halikutisha sana kwani nimeona Mzee alivyokuwa shapu kwa kuchenga na kumyumbisha askari hatimae kutoweka.Issue ya mama aliyegongwa ngongwa na jinsi walivyomshika makalio na kumrusha ndani hapa ndipo pa kujiuliza.Hivi hakuna mbinu nyingine ya kudeal na hawa mnaosema wanasababisha uvunjifu wa amani hasa akina mama.
Ushauri; Pamoja na madhaifu ya polisi,tukiwa raia tunapaswa kujiepusha nao hawa wapiganaji.Tutii sheria na kuepuka ubishi usio na maana hasa unapotiwa nguvuni vinginevyo watatuua hawa maake kwao sifa ni jinsi gani wamemdhibiti wanae muita ''muarifu''.
Hili la Mzee/wazee wastaafu EAC halikutisha sana kwani nimeona Mzee alivyokuwa shapu kwa kuchenga na kumyumbisha askari hatimae kutoweka.Issue ya mama aliyegongwa ngongwa na jinsi walivyomshika makalio na kumrusha ndani hapa ndipo pa kujiuliza.Hivi hakuna mbinu nyingine ya kudeal na hawa mnaosema wanasababisha uvunjifu wa amani hasa akina mama.
Ushauri; Pamoja na madhaifu ya polisi,tukiwa raia tunapaswa kujiepusha nao hawa wapiganaji.Tutii sheria na kuepuka ubishi usio na maana hasa unapotiwa nguvuni vinginevyo watatuua hawa maake kwao sifa ni jinsi gani wamemdhibiti wanae muita ''muarifu''.