Polisi na ujambazi igunga

Kite Munganga

Platinum Member
Nov 19, 2006
1,773
952
Tarehe 15 usiku palitokea ujambazi wa kiaina katika kumbi mbili Igunga ambazo zina Guest House na wateja wakaibiwa fedha nyingi tu na mali zingenezo, sasa mazingaombwe yalianza kesho yake tarehe 16/11/08 ambapo mwaathirika wa ujambazi huo alipomtambua na kutoa taarifa kuwa kati ya majambazi yale mmoja alikuwa ni askari Polisi wa hapo hapo Igunga anayeitwa "Mwaka" ndiye aliyekuwa ameshika Bunduki kwenye tukio siku hiyo, OCS akishirikiana na askari wa upelelezi Manda kwa harakaharaka wakatuma Askari kuanzisha kamatakamata mjini hasa ikilenga wazururaji na wageni na kuwaunganisha na kesi ya ujambazi huo huku wakimwacha askari wao bila kumfungulia mashtaka au kufanya upelelezi kama kweli alihusika au la, Kwa wenyeji wa Igunga wanadai kuwa wanahisi kuwa ujambazi huo ulipangwa na Polisi kwani sio kawaida kabisa Polisi kukosa kufanya doria sehemu hizo siku za week-end na inazidi kutia mashaka kwa hao wazurulaji kupelekwa mahakamani kesho yake tarehe 17 wakidaiwa kuwa ndio waliotenda kosa hilo huku Polisi aliyetajwa akiachwa huru huria mtaani lakini akiwa kasimamishwa kazi, kinachofanywa ni wale vijana wabebe kesi na Polisi isihusishwe kabisa na matukio ya siku hiyo ili kuficha uchafu ulio ndani ya Polisi wetu wa Igunga, mwisho napenda mtu mwenye namba za IGP Mwema au RPC wa Tabora ili nikomae nao, pia si vibaya nikipata namba za wakili yeyote aliyeko Tabora
 
Tarehe 15 usiku palitokea ujambazi wa kiaina katika kumbi mbili Igunga ambazo zina Guest House na wateja wakaibiwa fedha nyingi tu na mali zingenezo, sasa mazingaombwe yalianza kesho yake tarehe 16/11/08 ambapo mwaathirika wa ujambazi huo alipomtambua na kutoa taarifa kuwa kati ya majambazi yale mmoja alikuwa ni askari Polisi wa hapo hapo Igunga anayeitwa "Mwaka" ndiye aliyekuwa ameshika Bunduki kwenye tukio siku hiyo, OCS akishirikiana na askari wa upelelezi Manda kwa harakaharaka wakatuma Askari kuanzisha kamatakamata mjini hasa ikilenga wazururaji na wageni na kuwaunganisha na kesi ya ujambazi huo huku wakimwacha askari wao bila kumfungulia mashtaka au kufanya upelelezi kama kweli alihusika au la, Kwa wenyeji wa Igunga wanadai kuwa wanahisi kuwa ujambazi huo ulipangwa na Polisi kwani sio kawaida kabisa Polisi kukosa kufanya doria sehemu hizo siku za week-end na inazidi kutia mashaka kwa hao wazurulaji kupelekwa mahakamani kesho yake tarehe 17 wakidaiwa kuwa ndio waliotenda kosa hilo huku Polisi aliyetajwa akiachwa huru huria mtaani lakini akiwa kasimamishwa kazi, kinachofanywa ni wale vijana wabebe kesi na Polisi isihusishwe kabisa na matukio ya siku hiyo ili kuficha uchafu ulio ndani ya Polisi wetu wa Igunga, mwisho napenda mtu mwenye namba za IGP Mwema au RPC wa Tabora ili nikomae nao, pia si vibaya nikipata namba za wakili yeyote aliyeko Tabora

Ndugu nimejaribu kutafuta sijaipata namba ya Mwema lakinikuna hawa makamada wake ingawa kati yao wengine wameshastaafu. wapigie waulizie utapata msaada kuanzia hapo.
Hizi namba ziliwahi kuwekwa hapa katika post fulani na Shy ila ile ya mwisho nimeiongeza mwenyewe si ya Shy.
jamal rwambo
email : rwambowj@gmail.com
mobile : 0756 496770 , 0713 496770

paul chigonja
email : chigoman@lycos.com
mobile: 754 489567

mrs tully mkonya
mobile : 0787 614151 or 0754 614151

alred tibaigana
email : tibarpc@hotmail.com
mobile :0754 420565 or 222601281

zelothe stephen
email : zelostep@hotmail.com
mobile : 0784 455550 or 0754 022999

adrian mgayane
email :mgayaneadrian@yahoo.com
mobile : 0787 208936 or 0713 434008

suleiman kova
email :kova_seniorpolice@yahoo.com
mobile : 0754 034224

thobias andengenye
email : andengenyethobias@yahoo.com
mobile : 0754 770000

advocate nyombo
email : nyombiaddie@yahoo.com
mobile : 0717438373 or 0784 292935

abdalah msika
email : awmssika@yahoo.co.uk
mobile 0784 621460 or 0754 754843

Namba ya Rais Jakaya Kikwete ni 0754777777


Hiyo nadhani RA aliitoa bure kwa muungwana. Si unaweza kuona ni special number?
 
Asante mkuu, nimeweza kuingia kwenye website yao na kutuma malalamiko Head office-Dar, pia nimepata namba za RPC Tabora nafikiri nitawasiliana naye, Asante kubwa!!!!
 
Suala la kwanza hapo ni kupigania hao vijana waliokamatwa waachiwe mara moja halafu huyo Mwaka aswekwe ndani mara moja. Hawa Polisi kwanini wanataka kuwashonesha miaka 30 vijana bila makosa?????? Mwema waokoe wanyonge hao, kwani polisi wamekuwa wakilalamikiwa sana kuhusu ubambikizaji kesi kwa vijana wanyonge!!!!!!
 
Ndugu nimejaribu kutafuta sijaipata namba ya Mwema lakinikuna hawa makamada wake ingawa kati yao wengine wameshastaafu. wapigie waulizie utapata msaada kuanzia hapo.
Hizi namba ziliwahi kuwekwa hapa katika post fulani na Shy ila ile ya mwisho nimeiongeza mwenyewe si ya Shy.

Makamanda wa polisi Tanzania wanatumia Hotmail, Yahoo, Gmail na Lycos.

Kazi tunayo!
 
Back
Top Bottom