Speaker
JF-Expert Member
- Aug 12, 2010
- 6,324
- 2,238
Hivi ndo tuseme Dar hiii hakuna mapori ya kufundishia
polisi kutumia siraha?
Naamini kabisa kwamba,hadi unafikia kuvaa magwanda ya polisi
na kubeba siraha unakuwa unajua jinsi ya kuitumia!
Kweli kabisa,nasoma room namba 101 afu room namba 102 kuna
polisi wanafundishwa kushika bastola mnataka tusomeje?
Au kwa kua hakuna watoto wa raisi na mawaziri hapa?
Vipi kama kuna risasi bahati mbaya mkaanza kupiga makelele yenu hapa?
Hatuja zoea kusoma na kuona magwanda kila mahari,...
hamchelewi kupiga risasi hewani makusudi afu mkasema
mlisahau kutoa risasi zote!
Sio fair,msipanikishe watu wakiwa wanasoma bana,..
kuna mapori kibao,..vyuo vya mafunzo ya polisi vimejaa!
Hamkawii kutunyakua vi-laptop vyetu kwa kututishia mibastola yenu
polisi kutumia siraha?
Naamini kabisa kwamba,hadi unafikia kuvaa magwanda ya polisi
na kubeba siraha unakuwa unajua jinsi ya kuitumia!
Kweli kabisa,nasoma room namba 101 afu room namba 102 kuna
polisi wanafundishwa kushika bastola mnataka tusomeje?
Au kwa kua hakuna watoto wa raisi na mawaziri hapa?
Vipi kama kuna risasi bahati mbaya mkaanza kupiga makelele yenu hapa?
Hatuja zoea kusoma na kuona magwanda kila mahari,...
hamchelewi kupiga risasi hewani makusudi afu mkasema
mlisahau kutoa risasi zote!
Sio fair,msipanikishe watu wakiwa wanasoma bana,..
kuna mapori kibao,..vyuo vya mafunzo ya polisi vimejaa!
Hamkawii kutunyakua vi-laptop vyetu kwa kututishia mibastola yenu