Mzalendo80
JF-Expert Member
- Oct 30, 2010
- 2,508
- 1,338
Hizi adhabu huwa zinatolewa hata mitaani na Raia wanapokamata hata mwizi wa "kufuli" tu. Hakuna cha ajabu hapo.
kupiga mwizi mitaani ni tofauti na Polisi wanapomkamata mtuhumiwa, Kazi ya Polisi ni kusimamia Sheria sio kuvunja sheria. Unabowa sana siku hizi dada yangu