Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,870
- 155,829
Hii ni taarifa ya habari kutoka redio yenye spika.
kwanza habari kwa ufupi.
BINGWA mwenye shahada ya juu iliyoukuka ya utaahira ulio sababisha macho yake yawe macho kumchuzi amepiga marufuku maandamano ya tarehe 26-11-11 kwa kisingizio cha ali shababu.
mimi nimegundua wale jamaa wenye mbuti na vilungu na mabomu ya machozi ndio ali shababu wenyewe.
HATA KWA KITISHO GANI, LAZIMA TUTAANDAMANA KUILILIA KATIBA.
ZE END
kwanza habari kwa ufupi.
BINGWA mwenye shahada ya juu iliyoukuka ya utaahira ulio sababisha macho yake yawe macho kumchuzi amepiga marufuku maandamano ya tarehe 26-11-11 kwa kisingizio cha ali shababu.
mimi nimegundua wale jamaa wenye mbuti na vilungu na mabomu ya machozi ndio ali shababu wenyewe.
HATA KWA KITISHO GANI, LAZIMA TUTAANDAMANA KUILILIA KATIBA.
ZE END