Return Of Undertaker
JF-Expert Member
- Jun 12, 2012
- 4,572
- 26,868
Hadi hapa lazima kama mwananchi wa kawaida lazima nishangae na kuondoa imani na jeshi la polisi inakuwaje wauwaji wa watalii serengeti wakamatwe mdani ya 24 hrs lakini kwa Dr. Olimboka Mtanzania mwenzangu mpaka leo imekuwa ndoto!