Polisi kutotoa risiti ni jipu lingine la kutumbuliwa!

GODFREY GIITI

Member
Mar 15, 2015
33
3
Haiwezekani kosa la barabarani ni rahisi kuandikiwa notification kuliko kupewa risiti ya malipo ambayo ndio inayopeleka pesa hazina, ukitaka kujua hilo fanya kosa barabarani uombe risiti utaona mzunguko utakavyokuwa mkubwa mpaka utakata tamaa

Kwanini serikali inalazimisha mfanyabiashara kutoa risiti lakini polisi wa usalama barabarani ukimuomba risiti ni ugomvi?
 
Mkuu..umeongea ki majungu zaidi..
Iko hivi unapopewa hiyo notification ...anakuambia uende sehemu husika ambayo utapatiwa risiti.....haina mzunguko kama ulivyotia chumvi
 
Inno jamaa kaongea ukweli mtupu kama unabisha safiri kati ya mlandizi na Mbeya, utajua jamaa anamaanisha nini
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom