domo bwakubwaku
Member
- Mar 2, 2011
- 86
- 29
Kuna jamaa hapa ananihabrisha Kuwa katika Kata 17 za Arumeru kila Kata kuna polisi wanne na wanajeshi wanne wamepangishiwa nyumba watu mlioko Arumeru ni ya kweli hayo nakwanini iwe kipindi hiki cha uchaguzi
duh kama ni kweli hii kitu ni hatari, je, mafisadi na majambazi yanawindwa hivyo? Why use such kind of force?
Kuna jamaa hapa ananihabrisha Kuwa katika Kata 17 za Arumeru kila Kata kuna polisi wanne na wanajeshi wanne wamepangishiwa nyumba watu mlioko Arumeru ni ya kweli hayo nakwanini iwe kipindi hiki cha uchaguzi
kuna watu wamevishwa uniform na kadi feki za chadema watafanya fuja kwenye mikutano ya ccm halafu TBC na Star TV watanyesha.
Sifahamu chadema wamejiandaa vipi kilikwepa hili zengwe!!!
duh kama ni kweli hii kitu ni hatari, je, mafisadi na majambazi yanawindwa hivyo? Why use such kind of force?
Kwa kutumia akili yako nini impact ya hao polisi kila kata?
Ni sawa CHADEMA wasije wakamwagia watu tindikali kama ilivyokuwa Igunga.Kuna jamaa hapa ananihabrisha Kuwa katika Kata 17 za Arumeru kila Kata kuna polisi wanne na wanajeshi wanne wamepangishiwa nyumba watu mlioko Arumeru ni ya kweli hayo nakwanini iwe kipindi hiki cha uchaguzi
siyo uongo mimi nilikuwa Igunga wakati wa uchaguzi uliopita, CHADEMA ndiyo zao. Safari hii wameshtukiwa.Hizo ni tetesi tu, na kwenye kweli uongo hujitenga.
kuna watu wamevishwa uniform na kadi feki za chadema watafanya fuja kwenye mikutano ya ccm halafu TBC na Star TV watanyesha.
Sifahamu chadema wamejiandaa vipi kilikwepa hili zengwe!!!
mkuu ni kweli kuna wanajeshi wageni wameingia arumeru mashariki.Kuna jamaa hapa ananihabrisha Kuwa katika Kata 17 za Arumeru kila Kata kuna polisi wanne na wanajeshi wanne wamepangishiwa nyumba watu mlioko Arumeru ni ya kweli hayo nakwanini iwe kipindi hiki cha uchaguzi
Kuna jamaa hapa ananihabrisha Kuwa katika Kata 17 za Arumeru kila Kata kuna polisi wanne na wanajeshi wanne wamepangishiwa nyumba watu mlioko Arumeru ni ya kweli hayo nakwanini iwe kipindi hiki cha uchaguzi
siyo uongo mimi nilikuwa Igunga wakati wa uchaguzi uliopita, CHADEMA ndiyo zao. Safari hii wameshtukiwa.