Gurudumu
JF-Expert Member
- Feb 5, 2008
- 2,349
- 261
I am just thinking aloud. Kwa nini tangu vyama vingi vimeanza tz sijawahi kuona wala kusikia polisi wezima maandamano kwa kutumia risasi mpira. Kama wamewahi kutumia tafadhali mnijuze.
Nafikiria zaidi kwamba majeruhi wote wa mauaji yaliyofanywa na polisi Arusha ni risasi za moto.
Huko Mbeya nako leo tunaambiwa wametumia risasi za moto, wakati bado damu za Arusha hazijakauka.
Am I right kwamba polisi hawana risasi mpira? Kama ni kweli, ni kosa la nani? Je, huyo mhusika siye aliyesababisha matumizi haya ya kila siku ya risasi za moto dhidi ya raia? Na atafikishwa mahakani lini?
Nafikiria zaidi kwamba majeruhi wote wa mauaji yaliyofanywa na polisi Arusha ni risasi za moto.
Huko Mbeya nako leo tunaambiwa wametumia risasi za moto, wakati bado damu za Arusha hazijakauka.
Am I right kwamba polisi hawana risasi mpira? Kama ni kweli, ni kosa la nani? Je, huyo mhusika siye aliyesababisha matumizi haya ya kila siku ya risasi za moto dhidi ya raia? Na atafikishwa mahakani lini?