Mshume Kiyate
JF-Expert Member
- Feb 27, 2011
- 6,766
- 894
Wana Arusha baada ya kuchezea kichapo cha polisi Unga Limited msisahu kupiga kura kuchaguwa Mlima Kilimanyaro
Mbona mnatuchanganya? Kwani huyo Mbunge wenu alinyimwa dhamana au alíìkataa mwenyewe? Nalog offLema kwenda gerezani ilikuwa mbinu ambayo jana ccm walitakiwa waipangue kwa kumkubalia dhamana. Sasa wao sisiem wanajidai vichwa maji wakati watu wamechoka? Utaratibu mbofu na utawala usio wa sheria ndio chanzo! Asilaumie Lema
Viongozi wa juu wa Chadema kwa muda huu wako wapi?
Duh! Nyie mnapenda sana kususa,yaani mnabip watu mnalalamika mguu, hahahahah. Nalog offNashauri viongozi wa CDM waache kwenda bungeni hadi hapo serikali itakapowaachia viongozi wote wa CDM bila masharti yoyote yale. Mbele kwa mbele.
Usijali,sifanyi mtihani wa kisw hapa,lkn pamoja na kukosea bado nimeeleweka.Lengo langu lilikuwa ni kueleweka na sio kuandika kisw fasaha.Hata hivyo nashukuru kwa kunifuatilia.
Bi mkubwa usijisumbua FaizaFoxy ametusaidia sana kudadavua na kudurusu tungo mbalimbali humu, lakini nachelea kusema CHADEMA mmefilisika kisiasa poleni sana. Mtu kama Dr Slaa hawezi akapelekwapelekwa na ushabiki wa kijinga wa kuvunja sheria hii ni aibu
Aghairi au aahirishe, hiyo ulioandika wewe umekosea kidogo, usione vibaya, wamenizowea hapa kutembeza kifimbo kwa uchafuzi wa lugha.
Damu ya mjinga ni chukizo mbele ya Mungu ni sawa na mtu anaye jiua pole wewe, mbona mlikimbia NMC hahahatusipomwaga damu akili hatutapata, vijana tusikubali kuonewa wala kukandamizwa. tudai haki kwa nguvu zote
naomba nikupe pole wewe na ndugu zako.sasa subiri mziki uanze kitaeleweka tu.tumechoka na yeye ni mwanadamu amechoka.tutajua mjinga na mwenye akili ni nani.
naomba nikupe pole wewe na ndugu zako.sasa subiri mziki uanze kitaeleweka tu.tumechoka na yeye ni mwanadamu amechoka.tutajua mjinga na mwenye akili ni nani.
Damu ya mjinga ni chukizo mbele ya Mungu ni sawa na mtu anaye jiua pole wewe, mbona mlikimbia NMC hahaha
Ningeshauri huyo prince Charles ahairishe hiyo ziara yake ya Arusha..Aende akatembee Kilombero Wakulima wa Miwa na Mpunga..