sinafungu
JF-Expert Member
- Feb 13, 2010
- 1,524
- 863
Hivi karibuni walikamata fedha zilizoibwa (mamilioni), juzijuzi wakakamata shehena ya mahindi zaidi ya tani 600, cha kushangaza vitu hivi vyote vimeyeyuka mikononi mwao, huko mpakani polisi hao hao wamekamata maroli yakitaka kuvuka mpaka yakiwa na mahindi hayohayo ambayo yalikuwa chini ya ulinzi wao. inakuwaje polisi arusha .........?