Nyunyu
JF-Expert Member
- Mar 9, 2009
- 4,354
- 1,010
sijui man kwasababu mie naona kuwalaumu polisi wote si vyema wapo wachache ndio ambao wanakosa maadili man!!sema kwasababu watu bado mna hasira na mauaji ya Arusha ndio maana mnasema hivyo ila kwakweli amani ya Tanzania inapotezwa na jeshi la polisi sababu hawaheshimu haki za raia kweli inatia uchungu sana wamekua wababe sana kwa raia na ndio maana watu wanafurahi kweli kuna haja kubwa kwa serikali kulitazama hilo wasichukulie simple kuna siku tyatahamia kwa viongozi!
Serikali ya CCM haielewi kuwa matendo yanayofnywa kwa raia na polisi ni makaa yanayowasha chuki baina ya raia na polisi; serikali hiyo hiyo inashau kuwa imeshindwa kuwapa polisi nyumba kambini, wamejaa huku uraiani kwetu, mambo yatakuwa mambo mwishowe itazuka vita baridi kati yetu na polisi!!!
JK na watu wake hawataki kusoma alama za nyakati....