Usishangae wakilichukua aisee. Kama mbinu ndo hizo!hahaha CCM wanadhani watapata kitu Moshi
Sema jimbo jingine lakini si Moshi mjini.Usishangae wakilichukua aisee. Kama mbinu ndo hizo!
Naangalia TBC sasa hivi anahojiwa kamanda wa polisi kuhusu tukio la askari wake kukamatwa na shahada sita, hebu mwenye taarifa zaidi atujuze, nimeikuta katikati hii taarifa! nawakilisha