Mbona Dar polisi wanapigwa na kuvuliwa nguo ,yaani anakamatwa anapigwa kisha anaambiwa avue nguo na kuondoka hapo akiwa amebakizwa na chupi tu ,anafika kituoni wenziwe wanamkatia mbavu.True story.nashukuru sana haopolisi kichapo.naomba umma wa watanzania waelewe hao sii mapolisi ila ni majambazi kudhibitisha haya tuulizeni tuliokuwa Arusha jinsi polisi walivyo tuibia. hawa wameruhusiwa na mwema kuibia raia hivyo wananchi popote ukutapo polisi ukipata nafasi ya kumshugulikia usimwache ruka nae