police isiwe jeshi

morenja

JF-Expert Member
Feb 3, 2012
4,519
1,851
katika katiba mpya polisi iwe Tanzania police service na sio kama ilivyo sasa kama Tanzania police force ,iwe taasisi ya hudumaa ya uma badala jeshi nakuwa chini ya amiri jeshi mkuu .rais .kama ilivyo sasa .kuondoa kutumiwa na uongozi kugandamiza wananchi .Ghana wamefanya hivyo kwenye katiba yao .na kadhalika Kenya pia..
 
Kwa nchi km yetu si vzuri jeshi la police kubnafsishwa au kuwa service, km askari ni civil sevant anahongwa pesa ndogo, hata makaz muhim na vngne vingi tu, leo unabnafsisha jeshi wakat hata nchi nyng zilizoendelea hazjafanya hvyo. Kwa Tz Police libaki kuwa jeshi la mkuu wa polisi utafutwe utaratbu wa kumpata na sio huu wa sasa. Nilishapga kaz majeshi yote haya na nkatoka, hvyo bas najua ndan na nje.
 
Back
Top Bottom