Kachanchabuseta
JF-Expert Member
- Mar 8, 2010
- 7,269
- 675
Arusha victim on 05/01/2011
Hivi nyie mbona mnaleta uchokozi na POLIce?
Arusha victim on 05/01/2011
Arusha victim on 05/01/2011
Na mimi piahii nimeipenda
Nimeipenda hii mno. Jamaa na utambulisho wake hala hakuna cha kusahau bendela ya chama, wala kofia. Kweli jamaa ni mfia chama. Asante kwa kutuwakilisha vilivyo
Arusha victim on 05/01/2011
Majeruhi wa Arusha baada ya kupigwa Risasi
Wakuu ni ombi tu hizi picha zinazidisha hasira kwa wale walio namna moja au nyengine athirika na fujo au matukio hayo. Sidhani kama ni busara kuziweka kwani unachochea chuki katika jamii!! Ni mtazamo tu.
Arusha victim on 05/01/2011
hii ni kweli polisi wa tanzania?MMMhhhhhhhhhhhhhhh nimeshindwa kuangalia
Hii ilitokea bongo?
Hapana sio Bongo anaglia kwenye mkono wa kushoto wa huyo mwanajeshi kuna ngao ambayo inaonyesha ni kama ya west Africa au america ya kusini