Easymutant
R I P
- Jun 3, 2010
- 2,564
- 1,129
Nimetoka Police Mess Jana usiku hapa Arusha nilishuhudia FFU zaidi ya 45 wanakula kuku baada ya 'kazi nzurì' ya kuua wana wa nchi waliokuwa wanaonesha hisia zao juu ya demokrasi mbovu inayofanyika hapa nchini. Nilitaman niwe nimejifunga mabomu nijilipue! God 4bid...!
Hakika mngewaona ni kama walikuwa wanashangilia ushindi ambao sijui ni ufananishe na nini jamani mnielewe ? .. ni kama labda wachezaji wa timu fulani kubwa ambayo imeshinda kombe au mfano mzuri kama wameshinda kombe la dunia nadhani mmenielewa sasa.. narudi zangu kulala bado nina mninginio wa hatari...
Na tetesi ni kwamba machalii wa Arachuga wametengeneza bifu zito sana na police ...
Hakika mngewaona ni kama walikuwa wanashangilia ushindi ambao sijui ni ufananishe na nini jamani mnielewe ? .. ni kama labda wachezaji wa timu fulani kubwa ambayo imeshinda kombe au mfano mzuri kama wameshinda kombe la dunia nadhani mmenielewa sasa.. narudi zangu kulala bado nina mninginio wa hatari...
Na tetesi ni kwamba machalii wa Arachuga wametengeneza bifu zito sana na police ...