IsangulaKG
JF-Expert Member
- Oct 14, 2010
- 706
- 385
Kwanza mtanisamehe kama nitakusea Kiswahili kidogo lakini nimejitahidi sana kuhakikisha kuwa si isahau Lugha Ya Nchi Yangu
Naandika Waraka huu nikiwa natulia kidogo kushika Tama, kama mtanzania aishiye nje ya nchi yake kikazi.
Nawapa pole sana kwa taarifa za mara kwa mara ninazozipata hasa kubwa kabisa ni hili la Mgao MKUBWA wa umeme ambao nadhani kwa sasa unaongoza Duniani. Suala Kubwa ninalojiuliza hivi viongozi wetu, kama rais akitembelea nchi nyingine kama Africa kusini au marekani huwa anafumba Macho?
Hawezi kuona mifumo ya wengine kuanzia kwenye miundo mbinu na nishati akaiga japo Kidogo?
Kwa nini Wamarekani wafurahie Maji ya bomba yasiyo na wadudu ya moto na ya baridi wakati bongo ni mgao wa maji?
Je wao walijifunza wapi au ni udiriki wao na viongozi imara?
Hapa nilipo sijawahai kuona umeme umekatika labda kwa kuwa wanatumia mfumo wa volti ndogo lakini kama hiyo ni suluhu kwa nini basi nasi huko nyumbani wasibadili?
Marais hao wanaoingia Madarakani hawaoni aibu?
Kwa kuwa nili mchagua Kikwete lakini sasa naanza kujiuliza siku niliyopiga kura nilikuwa nimelewa? Nadhani nilikuwa nimepiata kidondoni but nasikitika saaaana kuwa nami nilimchagua!
Kuna wakati nadha ni akitoka ikulu akaona Maghorofa ya Posta anasahau na kusema haya ndo Maendeleo..akiwasahau wanakijiji wa Pale Charambe!
Poleni saana Ndugu zangu Muda si Mrefu nitarudi tu ....japo moyo unasita kweli kweli
Naandika Waraka huu nikiwa natulia kidogo kushika Tama, kama mtanzania aishiye nje ya nchi yake kikazi.
Nawapa pole sana kwa taarifa za mara kwa mara ninazozipata hasa kubwa kabisa ni hili la Mgao MKUBWA wa umeme ambao nadhani kwa sasa unaongoza Duniani. Suala Kubwa ninalojiuliza hivi viongozi wetu, kama rais akitembelea nchi nyingine kama Africa kusini au marekani huwa anafumba Macho?
Hawezi kuona mifumo ya wengine kuanzia kwenye miundo mbinu na nishati akaiga japo Kidogo?
Kwa nini Wamarekani wafurahie Maji ya bomba yasiyo na wadudu ya moto na ya baridi wakati bongo ni mgao wa maji?
Je wao walijifunza wapi au ni udiriki wao na viongozi imara?
Hapa nilipo sijawahai kuona umeme umekatika labda kwa kuwa wanatumia mfumo wa volti ndogo lakini kama hiyo ni suluhu kwa nini basi nasi huko nyumbani wasibadili?
Marais hao wanaoingia Madarakani hawaoni aibu?
Kwa kuwa nili mchagua Kikwete lakini sasa naanza kujiuliza siku niliyopiga kura nilikuwa nimelewa? Nadhani nilikuwa nimepiata kidondoni but nasikitika saaaana kuwa nami nilimchagua!
Kuna wakati nadha ni akitoka ikulu akaona Maghorofa ya Posta anasahau na kusema haya ndo Maendeleo..akiwasahau wanakijiji wa Pale Charambe!
Poleni saana Ndugu zangu Muda si Mrefu nitarudi tu ....japo moyo unasita kweli kweli