Poleni sana Watanzania Wenzangu

IsangulaKG

JF-Expert Member
Oct 14, 2010
706
385
Kwanza mtanisamehe kama nitakusea Kiswahili kidogo lakini nimejitahidi sana kuhakikisha kuwa si isahau Lugha Ya Nchi Yangu
Naandika Waraka huu nikiwa natulia kidogo kushika Tama, kama mtanzania aishiye nje ya nchi yake kikazi.

Nawapa pole sana kwa taarifa za mara kwa mara ninazozipata hasa kubwa kabisa ni hili la Mgao MKUBWA wa umeme ambao nadhani kwa sasa unaongoza Duniani. Suala Kubwa ninalojiuliza hivi viongozi wetu, kama rais akitembelea nchi nyingine kama Africa kusini au marekani huwa anafumba Macho?

Hawezi kuona mifumo ya wengine kuanzia kwenye miundo mbinu na nishati akaiga japo Kidogo?
Kwa nini Wamarekani wafurahie Maji ya bomba yasiyo na wadudu ya moto na ya baridi wakati bongo ni mgao wa maji?

Je wao walijifunza wapi au ni udiriki wao na viongozi imara?
Hapa nilipo sijawahai kuona umeme umekatika labda kwa kuwa wanatumia mfumo wa volti ndogo lakini kama hiyo ni suluhu kwa nini basi nasi huko nyumbani wasibadili?

Marais hao wanaoingia Madarakani hawaoni aibu?

Kwa kuwa nili mchagua Kikwete lakini sasa naanza kujiuliza siku niliyopiga kura nilikuwa nimelewa? Nadhani nilikuwa nimepiata kidondoni but nasikitika saaaana kuwa nami nilimchagua!

Kuna wakati nadha ni akitoka ikulu akaona Maghorofa ya Posta anasahau na kusema haya ndo Maendeleo..akiwasahau wanakijiji wa Pale Charambe!

Poleni saana Ndugu zangu Muda si Mrefu nitarudi tu ....japo moyo unasita kweli kweli
 
Pole yako haitusaidiii hata kidogo....kwanza wewe ndo umetuweka katika matatizo haya kwa kumchagua mtu asiyejali wananchi (JK) harafu ukakimbilia huko unakotulingishia Marekani. Pili wewe una uwezo wa kutumikia nchi yako lakini badala yake umeamua kuwasaidia walioendelea na mahali ambapo maji na umeme haukatiki.... sasa pole ya nini? Tatu unasema moyo unasita....... Acha kutukejeli.......
 
Nililitegemea Hilo lakini labda nawe umekosea ulipoaandika Upo Kigali na Hiyo najua iko Rwanda...we're in the same boat Brother!
 
Kwanza mtanisamehe kama nitakusea Kiswahili kidogo lakini nimejitahidi sana kuhakikisha kuwa siisahau Lugha Ya Nchi Yangu
Naandika Waraka huu nikiwa natulia kidogo kushika Tama, kama mtanzania aishiye nje ya nchi yake kikazi.
Nawapa pole sana kwa taarifa za mara kwa mara ninazozipata hasa kubwa kabisa ni hili la Mgao MKUBWA wa umeme ambao nadhani kwa sasa unaongoza Duniani. Suala Kubwa ninalojiuliza hivi viongozi wetu,kama rais akitembelea nchi nyingine kama Africa kusini au marekani huwa anafumba Macho? Hawezi kuona mifumo ya wengine kuanzia kwenye miundo mbinu na nishati akaiga japo Kidogo?
Kwa nini Wamarekani wafurahie Maji ya bomba yasiyo na wadudu ya moto na ya baridi wakati bongo ni mgao wa maji? Je wao walijifunza wapi au ni udiriki wao na viongozi imara?
Hapa nilipo sijawahai kuona umeme umekatika labda kwa kuwa wanatumia mfumo wa volti ndogo lakini kama hiyo ni suluhu kwa nini basi nasi huko nyumbani wasibadili?

Marais hao wanaoingia Madarakani hawaoni aibu?

Kwa kuwa nili mchagua Kikwete lakini sasa naanza kujiuliza siku niliyopiga kura nilikuwa nimelewa? Nadhani nilikuwa nimepiata kidondoni but nasikitika saaaana kuwa nami nilimchagua!

Kuna wakati nadha ni akitoka ikulu akaona Maghorofa ya Posta anasahau na kusema haya ndo Maendeleo..akiwasahau wanakijiji wa Pale Charambe!

Poleni saana Ndugu zangu Muda si Mrefu nitarudi tu ....japo moyo unasita kweli kweli
Kama una kazi nzuri fweza inaingia na life ni poa na huna cha kukuleta we jikalie huko huko mkuu. Unless una valid reason ya kugeuza. Maisha popote tu.
 
Nililitegemea Hilo lakini labda nawe umekosea ulipoaandika Upo Kigali na Hiyo najua iko Rwanda...we're in the same boat Brother!

Karibu Dar es Salaam-Mwenge kwa wachonga vinyago (chumba 84) nitakupa zawadi ya vinyago au artworks yoyote najua Wamarekani wanavipenda vinyago hasa wa New Hampshire na Connecticut.
 
Karibu Dar es Salaam-Mwenge kwa wachonga vinyago (chumba 84) nitakupa zawadi ya vinyago au artworks yoyote najua Wamarekani wanavipenda vinyago hasa wa New Hampshire na Connecticut.

Mkuu huyo jamaa anajiita mtulutumbi na maana ya mtulutumbi ni mchawi!! Kwenye avatar yake kuna bundi ambalo huhusishwa na uchawi!!
 
Kwanza mtanisamehe kama nitakusea Kiswahili kidogo lakini nimejitahidi sana kuhakikisha kuwa siisahau Lugha Ya Nchi Yangu
Naandika Waraka huu nikiwa natulia kidogo kushika Tama, kama mtanzania aishiye nje ya nchi yake kikazi.
Nawapa pole sana kwa taarifa za mara kwa mara ninazozipata hasa kubwa kabisa ni hili la Mgao MKUBWA wa umeme ambao nadhani kwa sasa unaongoza Duniani. Suala Kubwa ninalojiuliza hivi viongozi wetu,kama rais akitembelea nchi nyingine kama Africa kusini au marekani huwa anafumba Macho? Hawezi kuona mifumo ya wengine kuanzia kwenye miundo mbinu na nishati akaiga japo Kidogo?
Kwa nini Wamarekani wafurahie Maji ya bomba yasiyo na wadudu ya moto na ya baridi wakati bongo ni mgao wa maji? Je wao walijifunza wapi au ni udiriki wao na viongozi imara?
Hapa nilipo sijawahai kuona umeme umekatika labda kwa kuwa wanatumia mfumo wa volti ndogo lakini kama hiyo ni suluhu kwa nini basi nasi huko nyumbani wasibadili?

Marais hao wanaoingia Madarakani hawaoni aibu?

Kwa kuwa nili mchagua Kikwete lakini sasa naanza kujiuliza siku niliyopiga kura nilikuwa nimelewa? Nadhani nilikuwa nimepiata kidondoni but nasikitika saaaana kuwa nami nilimchagua!

Kuna wakati nadha ni akitoka ikulu akaona Maghorofa ya Posta anasahau na kusema haya ndo Maendeleo..akiwasahau wanakijiji wa Pale Charambe!

Poleni saana Ndugu zangu Muda si Mrefu nitarudi tu ....japo moyo unasita kweli kweli

Weee mtulutumbi unataka kututukana? Hicho kijiji cha charambe kiko wapi? Manake mimi naishi mbagala Charambe sasa usije kuniambia kwamba ndicho kijiji unachokisema?
 
Pole mwenyewe, huna maana rudi bongo ujenge nchi yako, wakati huu wa shida ndio tutawatambua wazalendo ni nani na nani
 
Pole mwenyewe, huna maana rudi bongo ujenge nchi yako, wakati huu wa shida ndio tutawatambua wazalendo ni nani na nani
Tatizo lako unadhani kujenga nchi ni kupiga makelele na kuandmana tuuu...unaweza kuwa nje ya nchi ukajifunza na ukaja na mawazo mazuri, huoni Rais wa Liberia alikuwa wapi na anafanya nini..wakati mwingine ufikirie japo kidogo
 
Tatizo lako unadhani kujenga nchi ni kupiga makelele na kuandmana tuuu...unaweza kuwa nje ya nchi ukajifunza na ukaja na mawazo mazuri, huoni Rais wa Liberia alikuwa wapi na anafanya nini..wakati mwingine ufikirie japo kidogo

Pumba tupu Una Busara sana ni bora Ubadili jina ndugu yangu
 
Kwanza mtanisamehe kama nitakusea Kiswahili kidogo lakini nimejitahidi sana kuhakikisha kuwa siisahau Lugha Ya Nchi Yangu
Naandika Waraka huu nikiwa natulia kidogo kushika Tama, kama mtanzania aishiye nje ya nchi yake kikazi.
Nawapa pole sana kwa taarifa za mara kwa mara ninazozipata hasa kubwa kabisa ni hili la Mgao MKUBWA wa umeme ambao nadhani kwa sasa unaongoza Duniani. Suala Kubwa ninalojiuliza hivi viongozi wetu,kama rais akitembelea nchi nyingine kama Africa kusini au marekani huwa anafumba Macho? Hawezi kuona mifumo ya wengine kuanzia kwenye miundo mbinu na nishati akaiga japo Kidogo?
Kwa nini Wamarekani wafurahie Maji ya bomba yasiyo na wadudu ya moto na ya baridi wakati bongo ni mgao wa maji? Je wao walijifunza wapi au ni udiriki wao na viongozi imara?
Hapa nilipo sijawahai kuona umeme umekatika labda kwa kuwa wanatumia mfumo wa volti ndogo lakini kama hiyo ni suluhu kwa nini basi nasi huko nyumbani wasibadili?

Marais hao wanaoingia Madarakani hawaoni aibu?

Kwa kuwa nili mchagua Kikwete lakini sasa naanza kujiuliza siku niliyopiga kura nilikuwa nimelewa? Nadhani nilikuwa nimepiata kidondoni but nasikitika saaaana kuwa nami nilimchagua!

Kuna wakati nadha ni akitoka ikulu akaona Maghorofa ya Posta anasahau na kusema haya ndo Maendeleo..akiwasahau wanakijiji wa Pale Charambe!

Poleni saana Ndugu zangu Muda si Mrefu nitarudi tu ....japo moyo unasita kweli kweli
Inaelekea umeondoka huku zamani sana............... CHARAMBE NI KIJIJINI.!!!Au kuna Charambe nyingine zaidi ya ile ya Mbagala..???
 
Kwanza mtanisamehe kama nitakusea Kiswahili kidogo lakini nimejitahidi sana kuhakikisha kuwa siisahau Lugha Ya Nchi YanguNaandika Waraka huu nikiwa natulia kidogo kushika Tama, kama mtanzania aishiye nje ya nchi yake kikazi.Nawapa pole sana kwa taarifa za mara kwa mara ninazozipata hasa kubwa kabisa ni hili la Mgao MKUBWA wa umeme ambao nadhani kwa sasa unaongoza Duniani. Suala Kubwa ninalojiuliza hivi viongozi wetu,kama rais akitembelea nchi nyingine kama Africa kusini au marekani huwa anafumba Macho? Hawezi kuona mifumo ya wengine kuanzia kwenye miundo mbinu na nishati akaiga japo Kidogo?Kwa nini Wamarekani wafurahie Maji ya bomba yasiyo na wadudu ya moto na ya baridi wakati bongo ni mgao wa maji? Je wao walijifunza wapi au ni udiriki wao na viongozi imara?Hapa nilipo sijawahai kuona umeme umekatika labda kwa kuwa wanatumia mfumo wa volti ndogo lakini kama hiyo ni suluhu kwa nini basi nasi huko nyumbani wasibadili?Marais hao wanaoingia Madarakani hawaoni aibu?Kwa kuwa nili mchagua Kikwete lakini sasa naanza kujiuliza siku niliyopiga kura nilikuwa nimelewa? Nadhani nilikuwa nimepiata kidondoni but nasikitika saaaana kuwa nami nilimchagua!Kuna wakati nadha ni akitoka ikulu akaona Maghorofa ya Posta anasahau na kusema haya ndo Maendeleo..akiwasahau wanakijiji wa Pale Charambe!Poleni saana Ndugu zangu Muda si Mrefu nitarudi tu ....japo moyo unasita kweli kweli
wewe endelea kubeba boksi usituzingue na pole za kinafiki!
 
Kwanza mtanisamehe kama nitakusea Kiswahili kidogo lakini nimejitahidi sana kuhakikisha kuwa siisahau Lugha Ya Nchi Yangu
Naandika Waraka huu nikiwa natulia kidogo kushika Tama, kama mtanzania aishiye nje ya nchi yake kikazi.
Nawapa pole sana kwa taarifa za mara kwa mara ninazozipata hasa kubwa kabisa ni hili la Mgao MKUBWA wa umeme ambao nadhani kwa sasa unaongoza Duniani. Suala Kubwa ninalojiuliza hivi viongozi wetu,kama rais akitembelea nchi nyingine kama Africa kusini au marekani huwa anafumba Macho? Hawezi kuona mifumo ya wengine kuanzia kwenye miundo mbinu na nishati akaiga japo Kidogo?
Kwa nini Wamarekani wafurahie Maji ya bomba yasiyo na wadudu ya moto na ya baridi wakati bongo ni mgao wa maji? Je wao walijifunza wapi au ni udiriki wao na viongozi imara?
Hapa nilipo sijawahai kuona umeme umekatika labda kwa kuwa wanatumia mfumo wa volti ndogo lakini kama hiyo ni suluhu kwa nini basi nasi huko nyumbani wasibadili?

Marais hao wanaoingia Madarakani hawaoni aibu?

Kwa kuwa nili mchagua Kikwete lakini sasa naanza kujiuliza siku niliyopiga kura nilikuwa nimelewa? Nadhani nilikuwa nimepiata kidondoni but nasikitika saaaana kuwa nami nilimchagua!

Kuna wakati nadha ni akitoka ikulu akaona Maghorofa ya Posta anasahau na kusema haya ndo Maendeleo..akiwasahau wanakijiji wa Pale Charambe!

Poleni saana Ndugu zangu Muda si Mrefu nitarudi tu ....japo moyo unasita kweli kweli

Asante sana tumeshapoa
 
yaani unajifanya umesahau kiswahili kabisaaaaaaaaaa. huna hata aibu....mwaka jana umekuja na ukapiga kura halafu leo unasema eti samahani kama ntakuwa nimekosea kiswahili....huko uliko huna hata miaka 20........usitupe pole sisi wewe lilila ndugu na jamaa zako.....

ulimbukeni tu unakusumbua......
 
Mkuu huyo jamaa anajiita mtulutumbi na maana ya mtulutumbi ni mchawi!! Kwenye avatar yake kuna bundi ambalo huhusishwa na uchawi!!

Hapana mkuu mtulutumbi hawezi kuwa mchawi....maana wachawi wakifika amerika uchawi wao huwa unayeyuka... Pia angekuwa mchawi asingetuonea huruma sisi watanzania wenzake.... Huyu ni msomi tena msomi kweli we cheza naye...ninachoweza kumhisi ni kuwa ni mzuri wa kusoma alama za nyakati... Kaona tanzania ya sasa ilivyo kama yai visa (fragile and when bust will stink) kaamua kuchanja mbuga na anasikilizia kwa nje hadi pakae sawa arudi.
 

Hapana mkuu mtulutumbi hawezi kuwa mchawi....maana wachawi wakifika amerika uchawi wao huwa unayeyuka... Pia angekuwa mchawi asingetuonea huruma sisi watanzania wenzake.... Huyu ni msomi tena msomi kweli we cheza naye...ninachoweza kumhisi ni kuwa ni mzuri wa kusoma alama za nyakati... Kaona tanzania ya sasa ilivyo kama yai visa (fragile and when bust will stink) kaamua kuchanja mbuga na anasikilizia kwa nje hadi pakae sawa arudi.

Mkuu sijasema yeye ni mchawi ila jina analojiita maana yake ni mchawi na bundi pia anahusishwa na uchawi!!! Mkuu hakuna wasomi ambao ni wachawi?
 
Back
Top Bottom