Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,148
Wapendwa napenda kuwapa pole waliohusika kwa namna moja ama nyingine kwenye uhuzuni ya mpendwa wetu mzee godfrey mwanache aliezikwa jana makaburi ya kinondoni
hakika sikuamini ila najua kila kitu kuna kusudi la mungu..polen mama watoto wote bila kumsahau kakayangu bob na wengine wote,mungu awape roho ya uvumilivu bwana ametoa bwana ametwaa...dear mama napenda kukupa uhakika bwana yesu ndie chief husband wetu baba ameondoka lakini yesu yuko nyuma yako akikulinda na yote...namkumbuka mzee wetu enzi za mitsubishi ndie aliekuwa big supplier wetu ..anyway na mengine mengi na upendo wake
mbarikiwee
hakika sikuamini ila najua kila kitu kuna kusudi la mungu..polen mama watoto wote bila kumsahau kakayangu bob na wengine wote,mungu awape roho ya uvumilivu bwana ametoa bwana ametwaa...dear mama napenda kukupa uhakika bwana yesu ndie chief husband wetu baba ameondoka lakini yesu yuko nyuma yako akikulinda na yote...namkumbuka mzee wetu enzi za mitsubishi ndie aliekuwa big supplier wetu ..anyway na mengine mengi na upendo wake
mbarikiwee