Asante nashukuru nk safarini kuelekea kwa mazishi.
pole sana dear kwa msibaPole mwaya!!!
Pole sana Damie,
Ila Mzee wa Rula amekuruhusu kutaja identity ya Mzee wake, maana tayari umeshamu expose mwenzio.
Asanteni nawashukuru. Kazi ya mungu haina makosa. Baba ananiumiza sana mwenzenu.