Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,475
- 39,991
Kwa mwenye hard copy ya "Uongozi wetu na Hatima ya Tanzania" naomba mnisaidie hapa...
a. Kwenye nukuu ya kwanza ya ripoti ya Nyalali (mwanzo kabisa) kuna sehemu inasema hivi:
Mapatano hayo yalifanywa kwa manufaa ya wananchi wote wa Tanza­nia. Hilo halina ubishi. Miungano mingi ya aina hii duniani, imefanywa na viongozi kwa njia hii au nyingine kwa niaba ya wananchi, bila kuhojiwa na hapana sababu ya kuhojiwa kitendo hicho. K \Va m;ingi huo, wale wachache wanaohoji na kutlka ku... ya maoni juu ya suala hili; hawaitakii mema nchi hii. Hoja hiyo haikubaliwi na Serikali ya Chama Cha Mapinduzi. (Makofi)
Unaweza kuangalia mtiririko wa maneno yanayokosekana hapo?
natanguliza shukrani.
Na pia anayekumbuka orodha ya viongozi wa kitaifa wakati ule.. orodha yangu ina wafuatao sijui nani nimemruka na alikuwa muhimu katika mjadala wa OIC na Tanganyika..
Baba wa Taifa: Mwal. Julius Kambarage Nyerere
Rais wa Jamhuri ya Muungano: Mhe. Ali Hassan Mwinyi
Rais wa Zanzibar na Makamu wa Pili wa Rais:Mhe. Dr. Salmin Amour
Waziri Mkuu wa Muungano na Makamu wa Kwanza wa Rais: Mhe. John S. Malecela
Spika wa Jamhuri ya Muungano: Mhe. Pius Msekwa
Katibu Mkuu wa CCM: Mhe. Horace Kolimba
Waziri wa Sheria na Katiba: Mhe. Samwel Sitta
Kiongozi wa kundi la Wabunge 55 (G55): Mhe. Njelu Kasaka
a. Kwenye nukuu ya kwanza ya ripoti ya Nyalali (mwanzo kabisa) kuna sehemu inasema hivi:
Mapatano hayo yalifanywa kwa manufaa ya wananchi wote wa Tanza­nia. Hilo halina ubishi. Miungano mingi ya aina hii duniani, imefanywa na viongozi kwa njia hii au nyingine kwa niaba ya wananchi, bila kuhojiwa na hapana sababu ya kuhojiwa kitendo hicho. K \Va m;ingi huo, wale wachache wanaohoji na kutlka ku... ya maoni juu ya suala hili; hawaitakii mema nchi hii. Hoja hiyo haikubaliwi na Serikali ya Chama Cha Mapinduzi. (Makofi)
Unaweza kuangalia mtiririko wa maneno yanayokosekana hapo?
natanguliza shukrani.
Na pia anayekumbuka orodha ya viongozi wa kitaifa wakati ule.. orodha yangu ina wafuatao sijui nani nimemruka na alikuwa muhimu katika mjadala wa OIC na Tanganyika..
Baba wa Taifa: Mwal. Julius Kambarage Nyerere
Rais wa Jamhuri ya Muungano: Mhe. Ali Hassan Mwinyi
Rais wa Zanzibar na Makamu wa Pili wa Rais:Mhe. Dr. Salmin Amour
Waziri Mkuu wa Muungano na Makamu wa Kwanza wa Rais: Mhe. John S. Malecela
Spika wa Jamhuri ya Muungano: Mhe. Pius Msekwa
Katibu Mkuu wa CCM: Mhe. Horace Kolimba
Waziri wa Sheria na Katiba: Mhe. Samwel Sitta
Kiongozi wa kundi la Wabunge 55 (G55): Mhe. Njelu Kasaka