Maxence Melo
JF Founder
- Feb 10, 2006
- 4,196
- 13,186
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakuu, kwakuwa doc hii ni ndefu, nashauri watu wai-download as an attachment hapa chini
Hakuna cha kuchangia hapaWakuu tuisome kwanza kwa kina ndio tuchangie kusaidia Taifa letu maana Wabunge wetu wengine hata hawachangii
Ni ripoti nzuri. Hata hivyo kuna vitu havijaeleweka, nitakuwa navitoa kimoja kimoja kila ninapokipata:
1. Ripoti inasema kati ya mashirika 156 yaliyowasilisha taarifa, 51 taarifa zake zilikaguliwa na kukamilika, na 105 zinaendelea kukaguliwa. Baadae ripoti inasema kamati imejadili kwa kina taarifa za mashirika 78 kati ya 105 yaliyokaguliwa! Confusion...
i cant believe ni weweNashukuru sana kwa kuiweka hapa, maana nimeisikiliza mwanzo mwisho wakati Zitto akiiwasilisha bungeni, hakika inaumiza, na aliniboa serukamba alipochangia.
Mkuu ile ya mrema nayo inasikitisha na ni nzuri sana ila msomaji wake hakupaswa awe mrema. kama unayo naomba utuwekee nayo, pia kama una video ya Tundu lissu nimependa alivyofloo.
Thanks again
Na pia tusisahau kuna watu wanaochambua ripoti kwa kuangalia nani ka-present,let us be objective.Tuangalie contents za ripoti