pm zimekuwa nyingi sana na sijui yupi anahela zaukweli au mbabaishaji
Kilaza at work.
Ni kujidhalilisha...halafu hata nafsi itakuwa inamsuta coz dume kujifanya jike ni kujidhalilisha coz utatongozwa...utajilazimisha kuongea kikike....simama Kiume Kama John na si Jane..Unapata faida gani mtoto wa kiume kujivika uhusika wa kike humu jamvini?
Ni kujidhalilisha...halafu hata nafsi itakuwa inamsuta coz dume kujifanya jike ni kujidhalilisha coz utatongozwa...utajilazimisha kuongea kikike....simama Kiume Kama John na si Jane..
Teh tukifanya takwimu kujua the CURRENT KILAZA wa JF hope Jane Zerozero a.k.a Mwanaasha ataibuka mshindi....
Teh tukifanya takwimu kujua the CURRENT KILAZA wa JF hope Jane Zerozero a.k.a Mwanaasha ataibuka mshindi....
Narudia tena!UNAPATA FAIDA KUJIVALISHA UHUSIKA WA KIKE WAKATI WEWE WAKIUME!!!!!utajisahau utajitia mtoto wa kike hadi mtaani!itakucost....ushauri tu kama unabisha endelea kujifanya demu humu jamvini!
Jf haina wachovu.
Dada yangu Husn, hujambo?
Dada yangu Husn, hujambo?