PM Confirm the New MPs Sitting Allowance

ukistaajabu ya musa, utaona ya farao........siamini iweje rais na mtendaji wake mkuu wanafanya kazi kwa kusakiziana. Jamaa yuko uswisi saa hizi sijui nani yuko pembeno yake kwa raha zake....huko madaktari wanalia njaa
 
good muwalipe sasa waalimu kisha madaktari na wazee wa afrika mashariki! Serikali ya ajabu kabisa duniani hii. Mungu atupe ujasiri wa kufanya kitu!
 
Posho hizi ni maandalizi ya hongo za 2015 maana ccm wanajua wana option moja tu ya kununua kura na si vinginevyo.
Tutashuhudia makubwa 2015 maana bei ya kura moja mpaka kipindi cha uchaguzi wa Igunga Ilikuwa ni sh. 10,000. Nadhani 2015 lazima itafika kama 50,000. Kwa mambo yaliyowakalia ccm wengi wataliwa na watapigwa chini pia.

Chadema fanyeni kazi yenu sasa maana hizi posho zina madhara 2015.
 
Ubunge ni kazi nzito, wewe unatumwa na watu wenye mawazo mbalimbali halafu unayachambua na kuwakilisha bungeni. Posho ingekuwa $500 kwa siku
sit down daughter, these things are above your level. Let us your elders discuss it. Go and have a nice sleep!
 
This is from Mh. Zitto Kabwe Zitto kwenye mtandao wake wa Twitter…

Just informed that the PM had a meeting with Editors today and confirmed a new rate for sitting allowance to MPs ie 200,000 tshs a day.

The PM says, he was asked by the President to deal with the matter. It is against the law for a PM to approve new rates.
...
National assembly admn act 2008 provides nothing as sitting allowance to MPs. The allowance itself has no legal basis, mazoea tu.

I reiterate my stand that I will not take sitting allowance as I don't deserve it. The Prime Minister is totally out of touch. A backlash.
.......................
My take...
Huyu naye kweli ni mkulima (lugha ya watoto wa mjini kumuelezea mtu asiyejua kitu aka mshamba)....Sasa kama ni kinyume na sheria kwa waziri mkuu kuthibitisha ongezeko jipya la posho, yet jamaa anajiita ni mwanasheria kwa taaluma, hivi kweli tuna watu! Yaani inajua kabisa inaenda kinyume na sheria lakini bado inavunja tu sheria eti kisa mkuu wa kaya kamwambia alifanyie kazi hilo jambo...!!!! Yaani midude mingine bwana!

Mh. Zitto Big Up kaka na songa mbele na ikiwezekana tanzishe move ya kuzipinga hizo posho kwa countrywide strike kaka...Hapo tutajumuisha mambo yote ikiwamo kupanda kwa gharama za maisha...
Kaka napata wasiwasi na huwezo wako mtu anamuita member mwezake chizi wewe unamgongea LIke
 
Ndiya maana Madaktari wanaacha taaluma yao, wanakwenda kugombea ubunge.

Siyo hao tu, hata Prof's nao wanaacha kufanya kazi zao za kitaaluma (utafiti n.k) wanakimbila kugombea ububunge kwani ndiko kwenye masilahi makubwa. Serikali ingejari taaluma za watu tusingepoteza wataalamu wanaoacha kazi zao na kwenda kusinzia bungeni maana kule akili zao hazitumiki ipasavyo!! Hakuna changamoto nyingi.
 
hahahahaa.....pass mark ya UDSM ni bei gani? 40, 50 au 60?

Ulizia chuo chenye pass mark kubwa zaidi tz ni kipi halafu ndio uje kujisifu hapa.
Issue siyo pass mark au average! Hapa siyo secondary!
Tunachoangalia ni qualification za kujoin first year. Kwa miaka yetu, only best students ndio tulikuwa tunapata nafasi ya kusoma UDSM na wengine kupata scholarship za kwenda nje!
Kama umesomea degree ya kwanza hapa nchini, halafu hujaisomea UDSM, consider usrself kilaza and academic failure!!
 
Ubunge ni kazi nzito, wewe unatumwa na watu wenye mawazo mbalimbali halafu unayachambua na kuwakilisha bungeni. Posho ingekuwa $500 kwa siku
Anayeona kazi nzito ajiuzuru na achie wengine ingekuwa ngumu wangekuwa wanakesha na kutoa takrima usiku na mchana kuutafuta ubunge na pia kuonga ushirikina na baadhi yao mpaka kuua albino wasio na hata
 
Eti nini vile unasema?????????

Hivi ni kweli kwamba Kikwete atakua amediriki kuonyesha ukaidi mwingine kwa wananchi kwa kapandishia wabunge Posho licha ya sisi walipakodi kugomea jambo hilo au unasemaje vile??
:embarassed2:
 
kukubali kufanya kosa ni mojawapo ya uungwana na uwajibikaji katika uongozi. kwako pinda kuja mbele ya uuma na kukubali kubeba lawama ni ishara njema kwamba utakuwa makini zaidi katika siku zijazo.....big up
 
kwa hili sio pinda tu au JK hata wabunge wote wa CCM na upinzani ambao hawakuona kwamba pinda ameruka sheria ni kama hawako bungeni..... akina Tundu Lissu ni wanasheria ilikuwaje walishindwa kutoa ushauri wa kisheria kwani naamini sio pinda peke yake mwanasheria bungeni wako wengi tu.
 
pm don't feel shy, just step down. why waiting for 2015? time is money!
 
Dah imekula kwetu tena....kelele zoooote kumbe ilikuwa kazi bure!

Watangayika mnavyodharaulika usishangae. Yaani viongozi wetu hawaogopi kabisaaa msemapo hapa na wao husema ndio. Tuone mtafanyaje. Kwi kwi kwi kwi
 
Back
Top Bottom