Unafungua thread huku umechoka halafu na wewe unajiita Great thinker
Hutuambii mbunge yupi hapo Mwanza kuna wawili
hutwambii PM alionekanaje baada ya tukio hilo
Mkutano uliendeleaje baada ya wananchi kumpa cold shoulder PM aliongelea nini
siku nyingine kama huna cha kutuambia kaa na taarifa yako