- Thread starter
- #21
Ilikuwaje ukamuandikia sms huyo mlengwa ya kumtakia maisha mema?Haiingii akilini kumuandikia bint mwnzio sms ya kumtakia masiha mema lazima kilikuwa ni kidume tu! Anyway piga moyo konde na endelea kujishusha tu kwa huyo mpenzio ikiwezekana watumie rafiki zake wa karibu kutatua hili suala.
thanx 4 advice