Viwanja viwili vinauzwa. Vipo Buyuni.
kila kimoja kina ukubwa wa sqm 780.
Bei ya kila kimoja ni sh 5mil.
Vyote vina hati miliki.
Kwa mawasiliano. 0171 114409
Viwanja viwili vinauzwa. Vipo Buyuni.
kila kimoja kina ukubwa wa sqm 780.
Bei ya kila kimoja ni sh 5mil.
Vyote vina hati miliki.
Kwa mawasiliano. 0171 114409
5m buyuni hii ndio bei poa??..kwa vigezo gani???..au kwa vile vina hati?...hati mbona kila mtu anaweza kuipata...anyway ,...acha u-dalali wako sema pei poa isiyozidi ..2m
Buyuni iko Chanika. Hivi ni viwanja wakivyopewa wale jamaa wa tabata dampo waliobomolewa na manispaa ya Ilala na wakalipwa 20 m. Sasa mwanaume kaamua kufanya biashara. Lakini kama kipo kwenye barabara kuu kwa milioni 5 naona siyo mbaya unaweza weka frames za maduka au kituo cha mafuta au???. Kapewa bure anataka kuuza.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.