yeah au ukipata email its very very easy to get traced....
<br />Unatumia Ip Address ifuatayo<br />
<br />
IP ADDRESS: <b>41.221.62.46 (Static)</b><br />
ISP wako ni <b>WIA TANZANIA</b><br />
<br />
Nitakufahamisha email address yako unayotumia ni ipi.
<br />mimi ninaweza kukutrace but...but it will take time cause its hard to find out just kama hivi,lakini wewe unatumia Vodacom Internet ryt?your IP Starts with 41.222.XXX.X,halafu to trace you will need me to create another account halafu uwe haujui..yani hauko aware kwamba kunamtu anakutrace
Mkuu kama upo serious Dondosha email yako hapa au kwa PM. Ila kukutrace kwenye JF sio simple. ingekuwa hivyo asingeingia mtu online. ni sio faster kivyo inachukuwa muda kuwa totally hacked. so me i wana take the bet.
hii hapa wandima@jamiiforums.com
USELESSS EMAIL!!! ndani ya JF sio rahisi kuwa Traced!! hataa email ya Jf still no trace labda mode au mkuu aaamue kutoa email yako kwa mtu ambapo pia sio kitu rahisi mtu akipata email ya nje lets say ya yahoo. atakupata sooon kwa Social engineering..So jibu la swali lako mkuu HUWEZI KUWA TRACED UKIWA JF ...u are SECURED ila mtu anaweza kufatilia post zako zote ulizo wahi kupost humu JF na kujua wewe ni mtu wa aina gani na kama ulijisahau sehemu huko nyuma ukatoa contacts then it will b possible to be traced
Wandima kwanza ulituzuga kusema wakati unasajali ulisajili kwa email ya wandima@jamiiforums.com ulivyoulizwa email ulipotea kama siku mbili. teh teh teh
Unachofanya sasa ni sawa unavaa bullet proof alafu unasema mtu akupige risasi . Unaweza kujeruhiwa lakini ni kazi ngumu . Kama ningekuwa mod nikapata ile email uliyosajili nayo mwanzo siyo hii ya kisanii uliyotoa. may be nikasoma hata PM zako sijui PM za watu hapa JF kama ziko encrypted teh teh teh.
Yaani ni hivi kwa member tu wa jf kuku trace ni kazi ngumu sana tena sana tu . kwa mod wa jf ni kazi ngumu kidogo( integamea na activity zako jf ). kwa serikali it can be just a matter of days
But anyway assume kuwa haiwezekani
Hahahhaha Utakataaa lakini nina uhakika zaidi ya 70% siku ya mwanzo wakati unasajili hukusjaili kwa email adress hiyo. atleast ungetaja emai nyingine......
Nilikudondoshea msg kwenye site nako ukashindwa sio? Mbona kule pia hukuweza?
Sitaki Kuassume wakati inasemekana inawezekana
Mtazamaji, Jux aliahidi kunipatia mail yangu na nimesubiri sana sijaipata
hahahaha labda kama ana ana uhusianao na ISP unayemtumia na yenyewe ni kazi. But ISP ni key player manaa traffic za IP adress yako na MAC adress yako akiuganisha na kuzifanyia reasearch anakuwa close to know who is wandima.