PetCash
JF-Expert Member
- Mar 20, 2012
- 1,997
- 1,997
Habari za jioni,
Guys, nina big concern here...Hop wengi wenu mpo ndoani na mna experiance na haya mambo. Mke wangu ni professional biologist( anafanya kazi kama pharmacist- ila kasoma mambo ya herpetology na akaminor pharmacy).
Jana tulikuwa na discussion ya family planning na anasema pills hucomplicate hormonal processes na kumfanya asiwe na regular cycles, awe anachoka sana, loss of appetite na pia inaweka chances za sisi kupata watoto mashakani.
Kwa hiyo alileta suala hilo under discussion ili tubadili njia tuliyokubaliana in the begining na tutumie natural ways ya kustudy her cycle. Kwenye hayo mambo mi simbishii kwa sababu anajua more than I, ila nikamuambia labda aje na solution nyingine kwa sababu hii huwa inakuwa ni ya kubahatisha sana...
akaniambia labda tutafiti njia zote then next time tupresent na tuamue ipi inafaa...
Nikaona its better nimek proper use ya hii forum.Please niibieni maujanja mwanandoa mwenzenu, what way has proved success to you?
Any experience please?
Guys, nina big concern here...Hop wengi wenu mpo ndoani na mna experiance na haya mambo. Mke wangu ni professional biologist( anafanya kazi kama pharmacist- ila kasoma mambo ya herpetology na akaminor pharmacy).
Jana tulikuwa na discussion ya family planning na anasema pills hucomplicate hormonal processes na kumfanya asiwe na regular cycles, awe anachoka sana, loss of appetite na pia inaweka chances za sisi kupata watoto mashakani.
Kwa hiyo alileta suala hilo under discussion ili tubadili njia tuliyokubaliana in the begining na tutumie natural ways ya kustudy her cycle. Kwenye hayo mambo mi simbishii kwa sababu anajua more than I, ila nikamuambia labda aje na solution nyingine kwa sababu hii huwa inakuwa ni ya kubahatisha sana...
akaniambia labda tutafiti njia zote then next time tupresent na tuamue ipi inafaa...
Nikaona its better nimek proper use ya hii forum.Please niibieni maujanja mwanandoa mwenzenu, what way has proved success to you?
Any experience please?