Bra-joe
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 1,562
- 986
Kama serikali haitapiga marufuku unjwaji wa pombe hadharani, Tanzania itakuwa ktk hatari ya kuwa na raia walevi kupindukia kama Urusi au Australia. Sasa hivi vijana wengi wakishika fedha kidogo tu, wanajiingiza ktk ulevi, wengi kwa kufuata mkumbo tu, hii ni kwa sababu wakati wanakua wanawaona kaka, wajomba na hata baba zao wakinywa pombe hadharani, pia pombe kwa sasa imekuwa chanzo kikubwa cha familia kutelekezwa au ndoa kuvunjika na matokeo yake kuongezeka kwa watoto wa mitaani na umaskini. Tafadhali sana serikali pombe inywewe sehemu za ndani tu kama bar, night club, pub au hotel. Viongozi zingatieni sana hili jambo b4 it's 2 late.