ume sechi ukashindwa kuipata? au?
haya google sechi utaiona then wapigie simu labda watakueleza zaidi?
haya maswali yako kama hilo la mwisho ni nini kimekufanya uulize? haya nimeona contacts za shule online wapigie wakujibu.
Wakuu naomba msaada kuhusu shule ya bihawana sec skul.
Inapatikana wapi?
Mkoa,wilaya, kata na mtaa?
Je ipo near na makinda?
Sare wanazo vaa?
Walimu wapo lakini?
Shukrani!
Hongera sana ukasome salama