Playstation 3 zina soko huku Tanazania?

Kaka kwa lak 4 haiwezekan, bei ambayo sony anamuuzia whole seller ps3 ya 160 gb ni usd 299 na 320gb kwa 399 hiyo ni bei ya jumla pitia wikipedia na hata sony playstation website utaona, madukan kote dunian ps3 haipungui ya 160gb haipungui usd 350,, mimi yangu nimenunua katika sony store mumbai kwa usd 350 na Inimeshafika china napo bei zinarange hivyo hivyo, muulize mtu yeyote aliyopo popote dunian ukipata ps3 mpya kwa lak 4 haiwezekani,,, sony walishaacha kutengeneza za 40,60 and 80gb toka 2010 pitia sony website, nowdays wanatengeneza za 160 na 320gb tu na bei zake kama hizo hapo juu, kwa lak 4 labda used but mpya haiwezekan
mkuu jaribu kucheki amazon.com utakuta kuwa unaweza kupata ps3 kwa usd250 ya 160gb na 320gb kwa around 300usd pia hii offer inakuja na a free game kuhusu bei huwezi kujua mlengwa kazipata wapi labda kanunua kwenye duka ambalo zipo subsidized kuvutia wateja au ana mbinu zake za nyuma ya mlango anyway sababu swali ni soko la bongo important issue ni price watu wanapenda cheap things hivyo hata kama ni refurbished cheap watanunua kuliko brand new expensive hence ndio maana nikamshauri ps2 (ambazo.obvious zitakuwa refurbished) tena azichakachue kabisa aweke chip ili mtu aweze kucheza games za kuburn
 
Mkuu, nataka nikuambie kitu cha ukweli bila kumung'unya maneno....mie binafsi nimenunua hiyo Play station 3 pale barabara
ya uhuru duka la Mutaza jirani kabisa na tawi la CRDB bank. Kitu brand new na original kabisa kwa Tsh 900,000 cash.
ndani ya box lake unakuta vitu 3....kwanza mashine yenyewe,CD 2 na peda pc 2 kwahajili ya kucheza watu wawili.
 
PS3 dukani ni lakini nane hadi tisa; ukipata mtu anakuuzia USED sio chini ya laki tano; PS2 inacheza kati ya lakini mbili hadi tatu; kuhusu soko, lipo kubwa sana lakini kutegemeana na bei; sikuhizi wanaochezea vidude hivi sio wale wa majumbani tu bali kuna sehemu nyingi zinazidi kufunguliwa ambako watoto na vijana wanalipia kucheza michezo mbalimbali, hasa Soccer; ukijipanga vizuri ukafungua sehemu yenye PS3/PS2 kama tatu nne, utaingiza hela nzuri tu;
 
PS3 dukani ni lakini nane hadi tisa; ukipata mtu anakuuzia USED sio chini ya laki tano; kuhusu soko, lipo kubwa sana lakini kutegemeana na bei; sikuhizi wanaochezea vidude hivi sio wale wa majumbani tu bali kuna sehemu nyingi zinazidi kufunguliwa ambako watoto na vijana wanalipia kucheza michezo mbalimbali, hasa Soccer; ukijipanga vizuri ukafungua sehemu yenye PS3 kama tatu nne, utaingiza hela nzuri tu;
Ahsante mchambuzi, nikweli! Siku chache zilizopita mtoto wa Broo alikuwa anahitaji hii kitu, So akaniagizia kariakoo na nikaipata kwa laki 9....hata hivyo walianzia laki 9.5
 
Kaka kwa lak 4 haiwezekan, bei ambayo sony anamuuzia whole seller ps3 ya 160 gb ni usd 299 na 320gb kwa 399 hiyo ni bei ya jumla pitia wikipedia na hata sony playstation website utaona, madukan kote dunian ps3 haipungui ya 160gb haipungui usd 350,, mimi yangu nimenunua katika sony store mumbai kwa usd 350 na nimeshafika china napo bei zinarange hivyo hivyo, muulize mtu yeyote aliyopo popote dunian ukipata ps3 mpya kwa lak 4 haiwezekani,,, sony walishaacha kutengeneza za 40,60 and 80gb toka 2010 pitia sony website, nowdays wanatengeneza za 160 na 320gb tu na bei zake kama hizo hapo juu, kwa lak 4 labda used but mpya haiwezekan

asante sana mkuu...ntajaribu kufanyia uutafiti maelezo yako.
 
hii ni ya Bei Rahisi kidogo Dola 650.

v2-59956.jpg

3,160 gigabytes Sony Playstation game console


PlayStation 3 Slim has the latest firmware version, which adds support for playing movies and games in 3D. In addition, the new Slim elegant curves disagn retained the previous model, so it still fits well in your living room.

The console will delight its customers wireless connectivity, WiFi and Bluetooth 2.0., Connect it to the TV HDMI connector and the model is not least also specific features BRAVIA Sync. Concerning Sony BRAVIA TV is

connected via HDMI cable with a control interface using XMP PS3 TV remote control.
There is a LAN interface or the PlayStation Network interactive environment where you can play free online

games and chat with friends around the world. Equipped inputs and outputs of a pair of missing USB 2.0 and digital optical audio output S / PDIF.

New Cell Broadband Engine microprocessor, also brought advanced hardware equipment, which reduces power consumption by more than a third. It is a powerful chip developed with IBM and delivers incredible performance,

new possibilities and paves the way for a new generation of real entertainment. Another innovation we saw at the NVIDIA RSX GPU. It now boasts a 40nm architecture, which is used in modern computer cards.

Specifications:
CPU:
Cell Broadband Engine processor with a frequency of 3.2 GHz SPE units 7 3.2 GHz 256 KB of SRAM per unit, 512 KB L2 Cache
System Memory: 256MB XDR RAM
Throughput: 25.6 GB / s
Accessible for GPU
GPU:
NVIDIA RSX on the G70 core - the equivalent GeForce 7800GTX with 256 MB of memory
Throughput 22.4 gigabytes / with 36 shader units that handle 100 billion operations per second
Maximum resolution of 1920 x 1080
System performance: 2.18 TFLOP, 51000000000 scalar operations
HDD: 160 GB
Mechanics:
Blu-ray

Supported formats:
Blu-ray BD-ROM, CD-ROM, CD + RW, DVD-Video, DVD-ROM, DVD-R, DVD + R, BD-ROM
Audio output:

LPCM 7.1ch, Dolby Digital, Dolby Digital Plus, Dolby TrueHD, DTS, DTS-HD, AAC
Interface: 2x USB 2.0 1x HDMI 1x AV
WiFi (IEEE 802.11 b / g)

Ethernet (10BASE-T, 100BASE-TX, 1000BASE-T)
Bluetooth 2.0 + EDR
Optical audio output
Power:
AC 220 - 240, 50/60 Hz
Dimensions: 290 × 65 × 290 mm
Weight: 2.6 kg

Included accessories:
Power Cable

DualShock 3 Wireless Controller
AV cable
USB cable
Full description ...

Manufacturer: Sony





hii nimeipenda umenunua wap?
 
Last edited by a moderator:
Mkuu, nataka nikuambie kitu cha ukweli bila kumung'unya maneno....mie binafsi nimenunua hiyo Play station 3 pale barabara
ya uhuru duka la Mutaza jirani kabisa na tawi la CRDB bank. Kitu brand new na original kabisa kwa Tsh 900,000 cash.
ndani ya box lake unakuta vitu 3....kwanza mashine yenyewe,CD 2 na peda pc 2 kwahajili ya kucheza watu wawili.
laki sita nakupa new na games mbili uchague.
 
Hizo Play station za kichina Fake mkuu angalia hiyo ya kwangu ni Orignal SONY Young_Master

Hata hiyo imetoka china bwana....Nenda maduka yote hapa US na Ulaya. Nenda WALL-MART all the **** made in CHINKY sasa tofauti yake ubora.Wenzako wameisha ona bora kitu kuliko kitu bora. Waache wanunue kulingana na mifuko yao
 
80% ya electronics za siku hizi zinatenegenezewa china. iwe simu, TV, au hizi consoles. angalia hata iphone, ukifungua ndania unakuta wameandika *made in china assembled in california*, atleast ndo iphone 4 ya kwangu inasema na mind you nimeletewa kutoka pale marekani
Young Master, nimependa idea yako ya kuleta cheap PS consoles ila kwenye PS2, itabidi ucheki cheki bei. cha msingi zaidi kama mkuu mmoja alivyosema ni kufanya ziwe chipped, yani ziwe na uwezo wa kucheza games zilizoburned kitaani. kwa PS2, lazima uweke chip, ila PS3 coz inatumia firmware, ni utundu tu kidogo na internet
baada ya hapo, ili kuwavuta wateja zaidi, inabidi uwe na games za kutosha na since zitakuwa chipped, itakuwa kazi ni kufanya downloads.
sasa mkuu ukiamulia kwenda na hii style, inabidi utafutane na chip mmoja iitwayo Matrix Infinity kwasababu ya PS2, ndo the best kwa kuchip PS2, na kwa PS3, uhakikishe hujanunua latest slim models, SONY wanakesha wakitafuta jinsi ya kuzifunga. kwa kuchip na kuwa na games za kutosha, utapata wateja mbaya mbaya

nipo ukihitaji my help
 
Last edited by a moderator:
wa mwaka 47 utawajua tu, ha haaaaaaaaaaa
thanx to my boys, ingawa mimi ni wa 47 nimelazimika kujua haya makitu. mimi nataka games za PSP bongo zinauzwa ghali sana. unaweza kunitafutia za Ben10 na Barney Young Master?

Ofcourse my lady Fixed Point. It will be great honor to have you as my customer. Pls naomba uniPM or contact me via meezy@youngmaster.co.tz ili tuweze kuongea hili swala.
 
Last edited by a moderator:
80% ya electronics za siku hizi zinatenegenezewa china. iwe simu, TV, au hizi consoles. angalia hata iphone, ukifungua ndania unakuta wameandika *made in china assembled in california*, atleast ndo iphone 4 ya kwangu inasema na mind you nimeletewa kutoka pale marekani
Young Master, nimependa idea yako ya kuleta cheap PS consoles ila kwenye PS2, itabidi ucheki cheki bei. cha msingi zaidi kama mkuu mmoja alivyosema ni kufanya ziwe chipped, yani ziwe na uwezo wa kucheza games zilizoburned kitaani. kwa PS2, lazima uweke chip, ila PS3 coz inatumia firmware, ni utundu tu kidogo na internet
baada ya hapo, ili kuwavuta wateja zaidi, inabidi uwe na games za kutosha na since zitakuwa chipped, itakuwa kazi ni kufanya downloads.
sasa mkuu ukiamulia kwenda na hii style, inabidi utafutane na chip mmoja iitwayo Matrix Infinity kwasababu ya PS2, ndo the best kwa kuchip PS2, na kwa PS3, uhakikishe hujanunua latest slim models, SONY wanakesha wakitafuta jinsi ya kuzifunga. kwa kuchip na kuwa na games za kutosha, utapata wateja mbaya mbaya

nipo ukihitaji my help

Asante sana kwa ushauri wako mkuu. Nitautilia maanani.
 
i just play my games in pc with usb pads, is there a big difference in graphics between pc and ps2
Mkuu computers capable for playing games equivalent na games console mwisho wa siku inaweza ikakugharimu zaidi..., mfano kuna watu wanao-upgrade pc zao wacheze games unaweza ukakuta wananunua graphics cards peke yake more than 700usd...

Ila kusema hivyo kila games zina minimum system requirements.., hivyo kama pc yako inaweza kucheza games bila freezing na muonekano sio mbaya you are okay..., lakini unaweza ukatengeneza system yako ikawa na more capabilities kuliko games consoles (although it will cost you more mwisho wa siku)
 
Mkuu computers capable for playing games equivalent na games console mwisho wa siku inaweza ikakugharimu zaidi..., mfano kuna watu wanao-upgrade pc zao wacheze games unaweza ukakuta wananunua graphics cards peke yake more than 700usd...

Ila kusema hivyo kila games zina minimum system requirements.., hivyo kama pc yako inaweza kucheza games bila freezing na muonekano sio mbaya you are okay..., lakini unaweza ukatengeneza system yako ikawa na more capabilities kuliko games consoles (although it will cost you more mwisho wa siku)

You are right mkuu thats why most of the people prefer to use gaming consoles to PC.
 
Hata hiyo imetoka china bwana....Nenda maduka yote hapa US na Ulaya. Nenda WALL-MART all the **** made in CHINKY sasa tofauti yake ubora.Wenzako wameisha ona bora kitu kuliko kitu bora. Waache wanunue kulingana na mifuko yao
Mkuu Africa_Spring Wanunue Vitu Feki kutokana na pesa zao zilivyo ndogo mifukopni wakati vitu bora vipo? unataka vitu bora wanunue matajiri?Masikini wanunue vitu Feki? mkuu unatangaza biashara nini? Hupendi Maendeleo ya watu walala hoi?
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom