Nina sifa kama zako kwa kiasi kikubwa. Ila mimi ni black byute.. Hapo ndo tumetofautiana. Kwa kifupi siyo mwongeaji sana unless kama tumezoeana.
hee c umetaka uhalisia ama nidanganye. afu kumbe kuna maks au ndo watafta mchumba?
hee c umetaka uhalisia ama nidanganye. afu kumbe kuna maks au ndo watafta mchumba?
Platozoom me cjatofautiana sana nawe ila nina sifa hz.
1. Me ni Me/Ke, mrefu wastani,maji ya chokleti na mnene kiasi.
2. Nina hasira sana hasa ukinipora changu nnaweza kukupiga hata na 'mguu wa kuku.
3. Napenda sana starehe hasa za nje ya miji.
4. Ukiniomba chochote nakupatia,sina hiyana.
5. Mwisho napenda sana vibabu na vibibi vyenye ndevu nyeupe,huwa vinanikoshaga sana,
we acha tu...!!!
mimi ni mfupi mnene mweusi....nina kibinda juu juu ka breki ya faya....sasa hivi nimeshonea weaving rangi ya blonde....napenda kutembea majesticale na sipendi kugain momentum kabisa.....kumbi kumbi nawala lakini sio siku hizi....napendelea nguo za samawati....
Mzembe nina six pack la kufa mtu, halaf nikiongea stoi harufu ya mdomo, niko kopi to rait na walcott wa Arsenal, samtaimu hata toilet naenda na suti, sjawahi kuishi uswahilini, wala sjawahi kutongoza, wadada wakiniona tu basi wanajileta wenyewe na vijimaneno vyao kama "super star kloro naomba unihug nipate harufu ya pafyum yako"
Niendelee au imetosha?
Waifu wa jirani yangu pia alitaka kudai talaka nimuowe mimi nikamjibu kwa kiingreza impossibo, ametishia kujiuwa.Endelea tunakusikiliza.
Waifu wa jirani yangu pia alitaka kudai talaka nimuowe mimi nikamjibu kwa kiingreza impossibo, ametishia kujiuwa.
Nazani sasa imetosha. Mambo vipi honey?
Mzembe nina six pack la kufa mtu, halaf nikiongea stoi harufu ya mdomo, niko kopi to rait na walcott wa Arsenal, samtaimu hata toilet naenda na suti, sjawahi kuishi uswahilini, wala sjawahi kutongoza, wadada wakiniona tu basi wanajileta wenyewe na vijimaneno vyao kama "super star kloro naomba unihug nipate harufu ya pafyum yako"
Niendelee au imetosha?