Mjenda Chilo
JF-Expert Member
- Jul 20, 2011
- 1,467
- 513
Wametokea matapeli wamewaingilia hawa jamaa watoa mikopo ya chapchap na wakiwalenga walimu na kuwalamba mainterest ya ajabu.
Matapeli hawa hutafuta salary sleep za walimu hizi hupatikana hazina na kwa waajiri husika halafu jamaa wanafogi mpaka wanafungua eti acount wanachukua mkopo. From no where mwalimu akienda kuchukua mshahara anakuta anadaiwa wkt hakukopa.
Kaka yangu mwezi uliopita rafiki yake mwezi huu kapigwa, of coz mwisho wa siku hawa wakopeshaji ndo inakula kwao.
Hivi yale mainterest makubwa ndo kwa ajili ya hizi risk? ila ni wazi huu ni mtandao toka kwa wafanyakazi wa hizo kampuni nahisi inawezekana na huko hazina kuna watu wanakula deal la kutoa salary slips.
Aibu kuwasumbua walimu jamani.
kamshahara kenyewe kakuiba kako wapi?
Matapeli hawa hutafuta salary sleep za walimu hizi hupatikana hazina na kwa waajiri husika halafu jamaa wanafogi mpaka wanafungua eti acount wanachukua mkopo. From no where mwalimu akienda kuchukua mshahara anakuta anadaiwa wkt hakukopa.
Kaka yangu mwezi uliopita rafiki yake mwezi huu kapigwa, of coz mwisho wa siku hawa wakopeshaji ndo inakula kwao.
Hivi yale mainterest makubwa ndo kwa ajili ya hizi risk? ila ni wazi huu ni mtandao toka kwa wafanyakazi wa hizo kampuni nahisi inawezekana na huko hazina kuna watu wanakula deal la kutoa salary slips.
Aibu kuwasumbua walimu jamani.
kamshahara kenyewe kakuiba kako wapi?