Plan 'b' ya mpiganaji zitto hii hapa

Uliza_Bei

JF-Expert Member
Feb 17, 2011
3,216
988
Kuna njama za makusudi zinapangwa kuwanyima akina Zitto fursa ya kupeleka vote of no confidence hata kama sahihi 70 zitapatikana, na mdada wa mjengoni ameapa kusimama kinyume na hili na serikali inamsaidia kuepuka aibu hii ambayo Mkulu hataki sikia, anasema...'siwezi kushinikizwa mimi ndiye kiongozi'.

Upande wa pili umeapa kuomba sahihi za wananchi nje ya mjengo kushinikiza kuondolewa kwa mawaziri vinara wa ufisadi waliotajwa kukwamisha jitihada za kuendeleza nchi hii.

Wanasema 'rais hatuwezi kumuondoa atamaliza kipindi chake 2015 lakini akubali kubadili team yake ya viongozi kwa kuondoa wanaolalamikiwa' My take: Kushindwa kwa wabunge kutapelekea wananchi kukata tamaa na kukubali mambo yaende yalivyo. 'TANZANIA KWANZA' KWANZA'
 
Dada unafaidika na nini kusimama upande wa wezi wa mali za umma zinazosababisha nchi isiendelee huku Watanzania wenzako wakitaabika kwa maisha magumu?

Leta ushahidi wa wizi

Hizi zote ni propaganda za magwanda lakini hazitafika kokote zitagonga na kurudi :playball::playball::playball::playball:
 
Zitto kichwa kitakuwa kinauma:doh::doh: ndo tatizo la kukurupukia hoja ambazo hatoweza
Anaye umwa kichwa ni wewe unayejitahidi kuzima hoja ya kutokuwa na imani ana waziri Mkuu!!!! Inaonekama uko upande wa maghambas, mtajificha wapi mapambano ndio yamaeanza sasa kila kona hakuna kulala!!!!!

 
amani amani, wanainchi wanafuatilia kwa karibu mambo yalivyo mjengoni
hujuma dhidi ya wapambanaji zitakutana na ghadhabu ya wapiga kura na wanainchi.
iko siku waziri atapopolewa kama kibaka.
tutafika huko muda si mrefu.
 
Kuna njama za makusudi zinapangwa kuwanyima akina Zitto fursa ya kupeleka vote of no confidence hata kama sahihi 70 zitapatikana, na mdada wa mjengoni ameapa kusimama kinyume na hili na serikali inamsaidia kuepuka aibu hii ambayo Mkulu hataki sikia, anasema...'siwezi kushinikizwa mimi ndiye kiongozi'. Upande wa pili umeapa kuomba sahihi za wananchi nje ya mjengo kushinikiza kuondolewa kwa mawaziri vinara wa ufisadi waliotajwa kukwamisha jitihada za kuendeleza nchi hii. Wanasema 'rais hatuwezi kumuondoa atamaliza kipindi chake 2015 lakini akubali kubadili team yake ya viongozi kwa kuondoa wanaolalamikiwa' My take: Kushindwa kwa wabunge kutapelekea wananchi kukata tamaa na kukubali mambo yaende yalivyo. 'TANZANIA KWANZA'

plan 'b' iko wapi?
 
Kuna njama za makusudi zinapangwa kuwanyima akina Zitto fursa ya kupeleka vote of no confidence hata kama sahihi 70 zitapatikana, na mdada wa mjengoni ameapa kusimama kinyume na hili na serikali inamsaidia kuepuka aibu hii ambayo Mkulu hataki sikia, anasema...'siwezi kushinikizwa mimi ndiye kiongozi'.

Upande wa pili umeapa kuomba sahihi za wananchi nje ya mjengo kushinikiza kuondolewa kwa mawaziri vinara wa ufisadi waliotajwa kukwamisha jitihada za kuendeleza nchi hii.

Wanasema 'rais hatuwezi kumuondoa atamaliza kipindi chake 2015 lakini akubali kubadili team yake ya viongozi kwa kuondoa wanaolalamikiwa' My take: Kushindwa kwa wabunge kutapelekea wananchi kukata tamaa na kukubali mambo yaende yalivyo. 'TANZANIA KWANZA'

Sahau wabunge kukata tamaa:A S 41:
 
Zitto kichwa kitakuwa kinauma:doh::doh: ndo tatizo la kukurupukia hoja ambazo hatoweza

Kichwa hakiumi kamwe nakuambia, hii ni hatua ya umuhimu yenye uthubutu wa hali ya juu hasa ukizingatia idadi ya wapinzani bungeni, Zitto ni mbunge wa kipekee aliyeweza kuonyesha msimamo na kupima unafiki wa wabunge ambao wanalalamika bila vitendo,
Baada ya hili tutatangaza list ya enemies of the society ili wananchi wagundue nani mnafiki na nani mtendaji na mtetezi wa wananchi kwa vitendo pale bungeni.
Zitto is our Hero.
 
Leta ushahidi wa wizi

Hizi zote ni propaganda za magwanda lakini hazitafika kokote zitagonga na kurudi :playball::playball::playball::playball:

Jifunze tabia ya kujisomea ili uwe na munkari wa kutafuta reports zilizowasilishwa na kuungwa mkono na wabunge wote jana, pamoja na report ya CAG,
otherwise umejivua ufahamu coz kazi ya kumtetea shetani ni kazi ngumu mno.
 
kama sahihi zikifika 70 na bado wakazipuuza tutaomba muongozo wa sisi wananchi inatakiwa tupate sahihi ngapi ili tumuondoe raisi ambacho kitakuwa ni kitu chema kwani baada ya Revolution tunafanya necessary evolution...:censored:
 
Leta ushahidi wa wizi

Hizi zote ni propaganda za magwanda lakini hazitafika kokote zitagonga na kurudi :playball::playball::playball::playball:

Endelea kuwadanganya wakubwa zako kuwa kila kitu ni Shwari. Tena ningependa kikwete akomae hasa na mkulo wake ili uozo uongezeke kupindukia ili HATA TAAHIRA AONE KUWA MABADILIKO YANAHITAJIKA.
 
Dada unafaidika na nini kusimama upande wa wezi wa mali za umma zinazosababisha nchi isiendelee huku Watanzania wenzako wakitaabika kwa maisha magumu?

Tunaomba jina la huyo dada na CV mkuu. sasa niwakati wa kuwajibishana tu kwa kwenda mbele.
Tunataka ku-create DATA BASE YA WANAFIKI, WASALITI ili 2015 tusipate taabu nao.
Pamoja
 
Back
Top Bottom