Taarifa toka kwenye vyanzo vyetu vya habari zinasema kuwa ule mfupa uliomshinda Fisi waonyesha dalili za kupata mlaji.
Taarifa hizo zinasema kuwa Katibu Mkuu Wizara ya Fedha Uchumi na Mipango,amemwandikia Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Kahawa Tanzania Bw Adolph Kumburu kutaka kupata PERSONAL PRESENTATION ya aliyekuwa Mwenyekiti wa Bodi hiyo Bw Pius Ngeze.
Taarifa hizo pia zinasema aliyekuwa Mwenyekiti wa Bodi hiyo ya Kahawa Bw Pius Ngeze ndie aliyeshindwa kuiongoza Bodi ya Kahawa na kusababisha makundi kwenye Bodi hiyo yaliyosababisha msuguano mkali baina ya Bodi ya wakurugenzi,Menejimenti na wafanyakazi kwa ujumla
Mzee huyo Bw Pius Ngeze ambaye ni rafiki wa karibu sana na Mkurugenzi Mkuu huyo wa Bodi ya Kahawa Bw Adolph Kumburu ambae aliweza kumwendesha M/Kiti huyo mpaka kufikia kuivuruga sekta hiyo ya Kahawa nchini na kusababisha Bodi hiyo iliyokuwa ikiongozwa na mzee huyo Bw Pius Ngeze kuvunjwa na serikali kwa ubadirifu,uonevu na unyanyasawaji kwa wafanya kazi wa Bodi hiyo nyeti nchini.
Taarifa hizo zinasema kuwa Katibu Mkuu Wizara ya Fedha Uchumi na Mipango,amemwandikia Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Kahawa Tanzania Bw Adolph Kumburu kutaka kupata PERSONAL PRESENTATION ya aliyekuwa Mwenyekiti wa Bodi hiyo Bw Pius Ngeze.
Taarifa hizo pia zinasema aliyekuwa Mwenyekiti wa Bodi hiyo ya Kahawa Bw Pius Ngeze ndie aliyeshindwa kuiongoza Bodi ya Kahawa na kusababisha makundi kwenye Bodi hiyo yaliyosababisha msuguano mkali baina ya Bodi ya wakurugenzi,Menejimenti na wafanyakazi kwa ujumla
Mzee huyo Bw Pius Ngeze ambaye ni rafiki wa karibu sana na Mkurugenzi Mkuu huyo wa Bodi ya Kahawa Bw Adolph Kumburu ambae aliweza kumwendesha M/Kiti huyo mpaka kufikia kuivuruga sekta hiyo ya Kahawa nchini na kusababisha Bodi hiyo iliyokuwa ikiongozwa na mzee huyo Bw Pius Ngeze kuvunjwa na serikali kwa ubadirifu,uonevu na unyanyasawaji kwa wafanya kazi wa Bodi hiyo nyeti nchini.